Hivi kweli unaamini kila anayeingia humu lazima anamjua Diamond?! Kuna watu maisha yao ukiambiwa utashangaa, acha kabisa.Ni mawaziri mizigo wa Jk
KUwa kama mtu mzima basi,istoshe hujaona nina mpenz wangu hapo?? mamakibunju
Me naona kama picha unazopiga na esma peke yake ndio kuna kuwa kama kuna kakitu ka siri kanaendelea kati yenu, huyo naona mwafanana kama dada yako vile na sioni chemistry yoyote kati yenu .Angalia KIPOCHI MANYOYA ​cha dada yake boss kisije kikakukosesha kazi...c
Lazima mdeki bahari mwaka huu.umaarufu hautafutwi kwa nguvu ohoooo utaangukia kwa chief kiumbe alafu mambo yawe ndivyo sivyo......najua kifesi hutanielewa lakini baadae utanisoma tu!!
Lazima mdeki bahari mwaka huu.umaarufu hautafutwi kwa nguvu ohoooo utaangukia kwa chief kiumbe alafu mambo yawe ndivyo sivyo......najua kifesi hutanielewa lakini baadae utanisoma tu!!
Tfadhari tuheshimiane ,ma baby ni huyo ubavuni kwangu
Kumbe na we una beiby....makubwa...
Kumbe na we una beiby....makubwa...
Mbona kadem kabaya hivyo sasa khaaa!!!!
""Jokes"
Lazima mdeki bahari mwaka huu.umaarufu hautafutwi kwa nguvu ohoooo utaangukia kwa chief kiumbe alafu mambo yawe ndivyo sivyo......najua kifesi hutanielewa lakini baadae utanisoma tu!!
Huyu penny naye achoki tu kujipendekeZa kwa hawa watu mara kamfanyua birthday dada wa diamond, mara mama diamond mara kiface... Hvi hzo cent zake hana cha kufanyia, angeenda japo kumpakia mama yake rangi kwenye kale ka nyumba ka NHC anachoishi au kumnunulia kaka yake Sheiza Mungilwa Suruali size yake tungemuelewa...
Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
Hivi Diamond na penseli wameachana lini? si ni wewe hapa uliapa hadi kwa miungu yako kwamba Wema na Diamond wapo kibiashara tu? sasa mbona unajichamba mwenyewe na kidole unanusa mwenyewe?Watu bana,kwa hiyo ulitaka baada ya kuachana basi ajenge uadui na watu aliokwisha jenga uhusiano nao /yan tuwe hatusalimian,kuongea wala kufanya mambo mengine yabkibinadam.acha ujinga mtunmzima wewe
Hivi Diamond na penseli wameachana lini? si ni wewe hapa uliapa hadi kwa miungu yako kwamba Wema na Diamond wapo kibiashara tu? sasa mbona unajichamba mwenyewe na kidole unanusa mwenyewe?
Mbona kadem kabaya hivyo sasa khaaa!!!!
""Jokes"
mmh!asiyeumba haumbui D