Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

KUwa kama mtu mzima basi,istoshe hujaona nina mpenz wangu hapo?? mamakibunju

Me naona kama picha unazopiga na esma peke yake ndio kuna kuwa kama kuna kakitu ka siri kanaendelea kati yenu, huyo naona mwafanana kama dada yako vile na sioni chemistry yoyote kati yenu….Angalia
KIPOCHI MANYOYA ​cha dada yake boss kisije kikakukosesha kazi...c
 

Tfadhari tuheshimiane ,ma baby ni huyo ubavuni kwangu
 
Lazima mdeki bahari mwaka huu.umaarufu hautafutwi kwa nguvu ohoooo utaangukia kwa chief kiumbe alafu mambo yawe ndivyo sivyo......najua kifesi hutanielewa lakini baadae utanisoma tu!!
 
Mbona kadem kabaya hivyo sasa khaaa!!!!
""Jokes"
 
Mbona kadem kabaya hivyo sasa khaaa!!!!
""Jokes"

inabidi aige mfano wa bosi wake,kwa kuchukua mademu classic katoka kwa penny kaenda kwa wema lakini alishapitaga kwa jokate.alafu yeye yuko karibu na dai mazingira yanamruhusu kupata maduu wa ukweli
**jokes**
 
Lazima mdeki bahari mwaka huu.umaarufu hautafutwi kwa nguvu ohoooo utaangukia kwa chief kiumbe alafu mambo yawe ndivyo sivyo......najua kifesi hutanielewa lakini baadae utanisoma tu!!

Mbaya zaidi wanamuita kiface/kisura...... hapo chief anafumba macho anafanya mambo.......
 

Hehehee ye uwiiii hilo nalo neno ,tena rangi nyingi bei rahisi kuliko keki
 
Watu bana,kwa hiyo ulitaka baada ya kuachana basi ajenge uadui na watu aliokwisha jenga uhusiano nao /yan tuwe hatusalimian,kuongea wala kufanya mambo mengine yabkibinadam.acha ujinga mtunmzima wewe
Hivi Diamond na penseli wameachana lini? si ni wewe hapa uliapa hadi kwa miungu yako kwamba Wema na Diamond wapo kibiashara tu? sasa mbona unajichamba mwenyewe na kidole unanusa mwenyewe?
 
umeharibu apetaiti yangu Matola
mfano gani huu mida kama hii jaman?
Hivi Diamond na penseli wameachana lini? si ni wewe hapa uliapa hadi kwa miungu yako kwamba Wema na Diamond wapo kibiashara tu? sasa mbona unajichamba mwenyewe na kidole unanusa mwenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…