heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
- Thread starter
- #101
Duh una machoooo
So unajtia hufaham kuwa yupo SA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh una machoooo
hivi mwanaume unakubalije kujiita kifesi?
halafu ona nayeye alivyorembua sura kama demu
mfsssss
Usijitoe ufahamu imrad tu uonekane una hasira na mimi
nshatoa maelezo ya hilo jina
mi nawewe nani kajitoa ufahamu?
dume zima ujiite kifesi eti umetoa maelezo yake huoni haya?
unatia aibu mi siwezi kuwa na hasira na wewe coz nna maisha yangu na nina kazi ya maana tu mi sijabahatisha maisha kama nyie dogo unatuzalilisha walume kwa ishu za khanga hizo
hivi mwanaume unakubalije kujiita kifesi?
halafu ona nayeye alivyorembua sura kama demu
mfsssss
Samahan hebu nipe maana ya kifesi unayoifaham wewe
unipe na source ya tafsiri yako,doctinary or popote ndio uongee pumba zako
So unajtia hufaham kuwa yupo SA?
Ni mambo ya kawaida haya dada angu,haswa ukishakuwa na level flan ambayo wengine
hawana,so siwajari sana kiface
Ni mambo ya kawaida haya dada angu,haswa ukishakuwa na level flan ambayo wengine
hawana,so siwajari sana kiface