Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

Nashukuru kukufahamu kifesi,mimi ni kiface(kisura) pole kwa yaliyokukuta

Ni mambo ya kawaida haya dada angu,haswa ukishakuwa na level flan ambayo wengine
hawana,so siwajari sana kiface
 
Last edited by a moderator:
Usijitoe ufahamu imrad tu uonekane una hasira na mimi
nshatoa maelezo ya hilo jina


mi nawewe nani kajitoa ufahamu?

dume zima ujiite kifesi eti umetoa maelezo yake huoni haya?

unatia aibu mi siwezi kuwa na hasira na wewe coz nna maisha yangu na nina kazi ya maana tu mi sijabahatisha maisha kama nyie dogo unatuzalilisha walume kwa ishu za khanga hizo
 
mi nawewe nani kajitoa ufahamu?

dume zima ujiite kifesi eti umetoa maelezo yake huoni haya?

unatia aibu mi siwezi kuwa na hasira na wewe coz nna maisha yangu na nina kazi ya maana tu mi sijabahatisha maisha kama nyie dogo unatuzalilisha walume kwa ishu za khanga hizo

Samahan hebu nipe maana ya kifesi unayoifaham wewe
unipe na source ya tafsiri yako,doctinary or popote ndio uongee pumba zako
 
hivi mwanaume unakubalije kujiita kifesi?

halafu ona nayeye alivyorembua sura kama demu

mfsssss

siku ya kwanza nilijua kakosea, nkajua anamaanisha kifenesi.......kumbe
 
Samahan hebu nipe maana ya kifesi unayoifaham wewe
unipe na source ya tafsiri yako,doctinary or popote ndio uongee pumba zako

Bwaha haaa

Tukisema nyie vilaza mnakataa... dogo bahati ya kutoka kimaisha si ufunguo wa kila kitu kubalini tu elimu imewapiga kumbo ona unavyoaibika si lazima kutumia lugha za watu hata kuandika dictionary inakushinda? tena hiyo sio typing error ni kwamba hujui lolote maskini weeee
Ndo kitu gani sasa hicho?

Narudia tena achana na ishu za khanga walume hatupo hivyo...PERIOD!!!




 
Napata tabu sana kwa Rijali mzima kujiita kiFace...yaani naona Aibu kama ndio mimi vile aisee we Cameraman ni kauzu zaidi ya Dagaa
 
Wabongo kuchukiana hivi ni matokeo ya kukosa elimu na njaa inayowakabili.
 
Back
Top Bottom