Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mawaziri wakiwa eneo la tukio kuendelea kuokoa wahanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hujui kazi ya hawa jamaa, wana different set of skills. Kuna wanajeshi wako pale tayari tokea mwanzoni, core of engineersNyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
Wapasua tofali kwenye maonyesho wamepoteana ..!Nyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
🚮🚮🚮Nadhani hujui kazi ya hawa jamaa, wana different set of skills. Kuna wanajeshi wako pale tayari tokea mwanzoni, core of engineers
Kuna mmoja hapo juu anawatetea eti sijui majukumu yao!! Mbele ya uhai wa mtu? Hao jamaa ni nyoka wa maonyeshoWapasua tofali kwenye maonyesho wamepoteana ..!
wAngetuonesha uwezo wao wa kubeba maweNyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
Wapo tangu janaNyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
Mbona wapo tangu jana?Nyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
Bila hivyo vifaa niliwaona wapo mikono mitupu🚮🚮Mbona wapo tangu jana?
Hivi ni vikosi vya uokoaji ?Nyakati kamaa hizi hawa jamaa walitakiwa wawe KkooView attachment 3154613
Walienda mikono mitupuNadhani hujui kazi ya hawa jamaa, wana different set of skills. Kuna wanajeshi wako pale tayari tokea mwanzoni, core of engineers
Unauliza swali kama umewekewa kipande cha mti huko kwenye masaburiHivi ni vikosi vya uokoaji ?
Umewahi kuona nchi za wenzetu? Fuatilia tukio la 9/11 utaelewa vizuriHivi ni vikosi vya uokoaji ?
Wenzetu pale huwezi kuta wamepeleka special forces, lile suala lilibebwa zaidi na Doj kupitia idara zake zaid, advantage moja wamejipanga wana vifaa vya kutosha, fire, police, emts,huduma za afyaUmewahi kuona nchi za wenzetu? Fuatilia tukio la 9/11 utaelewa vizuri
Tukio la 9/11 lilikuwa dharura kubwa ila vikosi vya zimamoto, police vilikuwa mstari wa mbele kwenye uokoaji.Umewahi kuona nchi za wenzetu? Fuatilia tukio la 9/11 utaelewa vizuri