Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

mtz one

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
4,284
Reaction score
1,221
Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020

CUF.jpg
CUF1.jpeg
 
Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, CCM wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.
 
Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, ccm wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.

Mbatia aliahidiwa na Jiwe wabunge watatu na Lipumba wawili huku akiahidiwa kufanywa mgombea mkuu wa upinzani hapo Jiwe hakujua hatima yake.

Sasa hivi yupo gereji kawatelekeza wote
 
Back
Top Bottom