bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Hata kilinge cha kahawa huwa kina watu wengi kuliko hicho cha Mzee Lipumba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kilinge cha kahawa huwa kina watu wengi kuliko hicho cha Mzee Lipumba.
🤣🤣🤣🤣Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P
Hata wewe unageuka rafiki yenu🤔. Wahenga wanasema ishi uone mengi 😂.Siamini kwa nikisikiacho kutoka kwako.Au mirija imeminywa unaipigania mipya hapo kwenu hivi sasa🤔Akawaleta na watu wake wa IT kabla Kagame hajamchezesha JPM akamdhulumu mabilioni urafiki ukafa
Sijakusikia vizuri kamanda, unasema bara kuna CHADEMA?!!!!!!Kufa mara ngapi? Kuna chama hapo? Hawa wamebaki waganga njaa wachache tu wanabaingaza wapate kula. Tanzania kuna vyama vitatu tu. Bara kuna CCM ´na Chadema na visiwani kuna ACT na CCM. Hawa wengine wote kama CUF, NCCR nk wanabaingaiza tu.
Mkuu, umejiunga JF 2018 halafu unasema unanifahamuHata wewe unageuka rafiki yenu🤔. Wahenga wanasema ishi uone mengi 😂.Siamini kwa nikisikiacho kutoka kwako.Au mirija imeminywa unaipigania mipya hapo kwenu hivi sasa🤔
Hata kama ingekuwepo Jf miaka 200 iliyopita mrengo na mitazamo ya mtu inafahamika hata pale unapoona au wandengereko wanasema hata unapo piga U turn ulishaacha alama za mienendo na mitazamo yako🤔Mkuu, umejiunga JF 2018 halafu unasema unanifahamu
Nimeshangaa kuna Chama kinaitwa NLD na mwenzao AdaTadea 😅😅 unaweza kuta kina wanachama mia 2 Tanzania NzimaKufa mara ngapi? Kuna chama hapo? Hawa wamebaki waganga njaa wachache tu wanabaingaza wapate kula. Tanzania kuna vyama vitatu tu. Bara kuna CCM ´na Chadema na visiwani kuna ACT na CCM. Hawa wengine wote kama CUF, NCCR nk wanabaingaiza tu.
Jiwe lilikuwa jinga lile. Ndiyo maana kulidhuluma ilikuwa rahisiAkawaleta na watu wake wa IT kabla Kagame hajamchezesha JPM akamdhulumu mabilioni urafiki ukafa
AhaaaaaahKakataje?kakaa na upande wa kiongozi mbele kule wanakaa watazamaji.Hata akiiweka nzima bado boksa itakuwa imeshuka tu mkuu.Usaliti ni shida.
Pasco ni bendera fuat upepo,mnafiki na ndumilakuwiliMabandiko yako nayo nimeshayastukia, huwa unaweka kila jambo, kisha likitokea moja kati ya iliyosema unasema ulishaona hilo. Uko sawa na mtu anayesema mwaka huu kutakuwa na uhaba wa chakula, halafu hapo hapo unasema kutakuwa na chakula kingi kwani mvua itanyesha sana. Ikitokea moja kati ya hayo unasema ulitabiri.
Hilo bandiko ni la 2010, na CUF imekuja kufa baada ya blunder ya Lipumba, na Maalim Seif kuhama na Wafuasi wake. Inshort hakuna chama hujawahi kusema kitakufa.
Viongozi viongozi,vizushi vizushi..acheni uwongo wa kijingaMoja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.
Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.
Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Hii ni liniHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaeleweje?
Alikuwa anakusoma kama questMkuu, umejiunga JF 2018 halafu unasema unanifahamu
Mtamwita hivyo, ila pesa aliopata mpaka wajukuu wataila, nyie muoneni kafilisika. Anajua akifanyacho japo hakutegemea kungetokea Mwendazake aliendazakeKubwa Jinga
Mwembe yanga 2008 na lowasa 2015 siyo aina mojawapo ya usaliti!?Usaliti ni laana
Dah"Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020