Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Profesa Lipumba na elimu yake alishindwa kujua mwenye mvuto huko CUF alikuwa ni Maalim Seif, na nguvu ya CUF ilikuwa Zanzibar hasa Pemba? Ni sawa na ACT ya leo wenye nguvu nao Wapemba na sio ACT huku Bara chini ya Zito. Lipumba ndio ameiua CUF kwa kukubali kutumiwa na ccm.
 
Hakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.

Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.

Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.
chadema_in_blood_1678807635547352.jpg
 
Hakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.

Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.

Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Wabongo wanafki sana🤣🤣🤣😁😁

Ila hapo yy wala haamaki akimaliza anaenda zake ikulu analamba asali kidogo huyo home kwakwe..!
 
Hakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.

Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.

Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Anashindwa hata na,wale wahubiri kwenye vituo vya mabus [emoji23]
 
Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P

Mabandiko yako nayo nimeshayastukia, huwa unaweka kila jambo, kisha likitokea moja kati ya iliyosema unasema ulishaona hilo. Uko sawa na mtu anayesema mwaka huu kutakuwa na uhaba wa chakula, halafu hapo hapo unasema kutakuwa na chakula kingi kwani mvua itanyesha sana. Ikitokea moja kati ya hayo unasema ulitabiri.

Hilo bandiko ni la 2010, na CUF imekuja kufa baada ya blunder ya Lipumba, na Maalim Seif kuhama na Wafuasi wake. Inshort hakuna chama hujawahi kusema kitakufa.
 
Anashindwa hata na,wale wahubiri kwenye vituo vya mabus [emoji23]
Walianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a pattern
 
Walianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a pattern
Wewe umerogwa na Jiwe
 
Walianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a pattern
🤩🤩🤩
 
Moja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.

Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.

Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Kwani JPM alipitishwa na nani kuwa mgombea Urais?!
 
Back
Top Bottom