Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:

View attachment 2550802

Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaeleweje?
Le Profeseur anatema thesis tupu hapo sijui kama boda na vocoba wanamwelewa kama walivyomwelewa Mh. Lema aliyeongea kwa lugha rahisi na ya kueleweka na kila mtu!
 
Wewe umerogwa na Jiwe
Endelea kua in denial na kujifariji...ila jua tu CUF kabla ya maridhiano ilikua ya moto sana...ila kwakua ww ni mbegu ya juzi huwezi elewa haya mambo wala kung'amua pattern za siasa za inchi hii...ufahamu wako wa siasa umeanzia enzi za Jiwe ndo maana hakutoki akilini while wenzako tumeanza kupiga kura kabla ht wazazi wako hawajakupata kwa bahati mbaya.
 
Ana
Mi naona huo uwanja ulivyo wazi hivyo bora angeitisha timu za hapo mtaani wapige chandimu angepata watu
Shida anachungulia mfukoni,kwani mapene yaliisha kata,kwani ule mwendo wa usaliti alishaumaliza🤸🤸
 
Moja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.

Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.

Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Rwanda hawawezi cheza na Tanzania
 
😀😀😀 ogopa sana kukosa haya .Mzee wangu wa Ilolangulu haoni soni kabisa wala aibu.
 
Endelea kua in denial na kujifariji...ila jua tu CUF kabla ya maridhiano ilikua ya moto sana...ila kwakua ww ni mbegu ya juzi huwezi elewa haya mambo wala kung'amua pattern za siasa za inchi hii...ufahamu wako wa siasa umeanzia enzi za Jiwe ndo maana hakutoki akilini while wenzako tumeanza kupiga kura kabla ht wazazi wako hawajakupata kwa bahati mbaya.
Usilinganishe na cdm chama ambacho ni tunu ya taifa na hizo taka zako
 
Katika jambo litapelekea kufa kwa hicho chama cha Civil United Front - CUF ni kukubali kugawanyishwa kutokana na tofauti yao na Marehemu Seif Shariff.

Kila jambo linafanikiwa kutokana na Umoja, ndiyo maana CCM baada ya kunusa mgawanyo wa kuanzishwa Chama cha CCJ enzi za Marehemu Speaker Mzee wa Viwango ilibidi system iingilie kati na chama kikafa kabla hakijasajiriwa
Kufa mara ngapi? Kuna chama hapo? Hawa wamebaki waganga njaa wachache tu wanabaingaza wapate kula. Tanzania kuna vyama vitatu tu. Bara kuna CCM ´na Chadema na visiwani kuna ACT na CCM. Hawa wengine wote kama CUF, NCCR nk wanabaingaiza tu.
 
Back
Top Bottom