Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Mungu mengi,mzee Leprofeser endelea kukomaa hadi kieleweke,ikibidi anza tena mkesha pale Buguruni,hadi waliokutelekeza wakuonee huruma,na waliokimbilia Act warudi nyumbani 🏃Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaeleweje?
Hakuiba ni halali kabisa 🤔🏃Picha hiyo ni Iringa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2020 na nilipita eneo hilo siku hiyo. Tangu hapo nikawa najiuliza huyu ni Professor kweli au aliiba mitihani
Le Profeseur anatema thesis tupu hapo sijui kama boda na vocoba wanamwelewa kama walivyomwelewa Mh. Lema aliyeongea kwa lugha rahisi na ya kueleweka na kila mtu!Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaeleweje?
Ateme juche za mitihani ya uchumi atawajaza wachumi uwanjani 🤔Huyu sasa inabidi kila akiitisha mkutano pawepo na soda na biskuti, angalau atajaza watoto ..
Endelea kua in denial na kujifariji...ila jua tu CUF kabla ya maridhiano ilikua ya moto sana...ila kwakua ww ni mbegu ya juzi huwezi elewa haya mambo wala kung'amua pattern za siasa za inchi hii...ufahamu wako wa siasa umeanzia enzi za Jiwe ndo maana hakutoki akilini while wenzako tumeanza kupiga kura kabla ht wazazi wako hawajakupata kwa bahati mbaya.Wewe umerogwa na Jiwe
Mi naona huo uwanja ulivyo wazi hivyo bora angeitisha timu za hapo mtaani wapige chandimu angepata watu.Ateme juche za mitihani ya uchumi atawajaza wachumi uwanjani [emoji848]
Shida anachungulia mfukoni,kwani mapene yaliisha kata,kwani ule mwendo wa usaliti alishaumaliza🤸🤸Mi naona huo uwanja ulivyo wazi hivyo bora angeitisha timu za hapo mtaani wapige chandimu angepata watu
Hii sasa ndiyo laanaHakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.
Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.
Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Ameshashauri iundwe 'Ukawa' mpya...Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaeleweje?
Wanafiki wote wamelaani wa🤔Hii sasa ndiyo laana
Rwanda hawawezi cheza na TanzaniaMoja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.
Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.
Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Akawaleta na watu wake wa IT kabla Kagame hajamchezesha JPM akamdhulumu mabilioni urafiki ukafaIkafika hatua jiwe aliweka wazilankende wenzake toka Rwanda kuwa walinzi wa ikulu. Nchi ilichezewa Sana hii
Tupatie picha ya upande wa watuDuh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P
Anavuna alichopandaHii sasa ndiyo laana
Hakuna watu hapoTupatie picha ya upande wa watu
Jiwe hakuwa na rafiki zaidi ya DABAkawaleta na watu wake wa IT kabla Kagame hajamchezesha JPM akamdhulumu mabilioni urafiki ukafa
Usilinganishe na cdm chama ambacho ni tunu ya taifa na hizo taka zakoEndelea kua in denial na kujifariji...ila jua tu CUF kabla ya maridhiano ilikua ya moto sana...ila kwakua ww ni mbegu ya juzi huwezi elewa haya mambo wala kung'amua pattern za siasa za inchi hii...ufahamu wako wa siasa umeanzia enzi za Jiwe ndo maana hakutoki akilini while wenzako tumeanza kupiga kura kabla ht wazazi wako hawajakupata kwa bahati mbaya.
Kufa mara ngapi? Kuna chama hapo? Hawa wamebaki waganga njaa wachache tu wanabaingaza wapate kula. Tanzania kuna vyama vitatu tu. Bara kuna CCM ´na Chadema na visiwani kuna ACT na CCM. Hawa wengine wote kama CUF, NCCR nk wanabaingaiza tu.Katika jambo litapelekea kufa kwa hicho chama cha Civil United Front - CUF ni kukubali kugawanyishwa kutokana na tofauti yao na Marehemu Seif Shariff.
Kila jambo linafanikiwa kutokana na Umoja, ndiyo maana CCM baada ya kunusa mgawanyo wa kuanzishwa Chama cha CCJ enzi za Marehemu Speaker Mzee wa Viwango ilibidi system iingilie kati na chama kikafa kabla hakijasajiriwa