Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Huyu mwamba niliwahi muona maeneo ya Mlimani City two weeks ago na hao watoto wake,inauma saana kwakweli.Kwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.
Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?
Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?
Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi
Yupo na mama yao hao watoto!Na mama yao labda kawatimua
Usiangalie mavaziHawa watoto mbona wakishua kabisa.
Myahudi huyo ebu mcheki fresh muonekano wake na watoto wake.Anaonesha kama mwarab au mturkey
mbona anaonekana smart huyu!.Kwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.
Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?
Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?
Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi
Umejuaje kuwa ni raia wa kigeni?Kwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.
Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?
Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?
Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi
🤣🤣😂😂😅😁😄😃😀😆😆Mwekezaji huyo wewe kausha
Basi mamlaka zimchunguze kumjua kiundani zaidi!!!Sidhani kama ni ombaomba atakuwa ana lengo lake binafsi.
Kama unaweza jins ya kum tag baloz wa turrkey tag.nahis huyu jamaa ila nimeskia akiomba kwa kiarabu.mdio amenichanganya.Aisee! Huyu mwamba niliwahi muona maeneo ya Mlimani City two weeks ago na hao watoto wake,inauma saana kwakweli.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wwe umejuwaje Kama huyo ni mgeni, na anatakiwa aendee ubalozi gani!!!??Nimempa 500 lakin nikamuuliz mtu wa pemben jamaa kama amepatwa na shida obvious kuna ubaloz