Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.
Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?
Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?
Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi
Unaaingalia rangi ama? slaved mindHawa watoto mbona wakishua kabisa.
Unadhani kuadopt ni rahis rahis eh tena esp TzUnaweza nifanyia mpango.kuna bi mkubwa wang anataka alee kile kitoto chake cha mwisho
Mwangalie vizuri asijekuwa Dejan anatafuta nauliKwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.
Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?
Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?
Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi
Kama kawaida watu kama sisi huwa hatukosekani[emoji38][emoji38][emoji38]Sidhani kama ni ombaomba atakuwa ana lengo lake binafsi.
Kale anakokabeba shingoni?Unaweza nifanyia mpango.kuna bi mkubwa wang anataka alee kile kitoto chake cha mwisho
I see.okay.nimemuonesha bi mkubwa amependa sana hako ka mwisho.Kale anakokabeba shingoni?
Tatizo namna ya kuzoeana nae maana nilipo mimi ndo kituo chake kila asubuhi na sitaki mazoea nae naweza kujifanya kumsemesha mwisho akaniganda nikawa rafiki yake wa mtaani wa kuhudumia familia yake kitu nisichokitaka.
Kama mna nia kweli ukipata wasaa pita mitaa niliyoitaja hapo juu mida ya 08:00 asubuhi hukuwakuta mtaa wa Swahili basi utawakuta mtaa wa Udoe pale kwenye jengo la Discount Center,anacheza hapo hapo junction ya Swahili & Udoe na Msimbazi mpaka saa 09:00.
Wewe sio msamalia mwema?Wasamalia wema wawanunulie yeboyebo hao madogo.
Mbona mtoto blonde au kachanganya changanya damuAnaonesha kama mwarab au mturkey