mkuu sidhani kama anastahili pongezi,angeita watoto yatma ambao hawawez kufuturu na sio wasanii ambao hutumia make up za 1000000
Wengi wao ikifika 2015 watatumiwa ktk kampeni za chama tawala for the sake of 2013 iftar.
mmmmmmmmm madame mbona wa kristo wapo tena wengi.adamu mchovu,ambwene isaya,b 12,marlow na wengine wengi..ushaanza kutia udini mama la mamaaa acha hizo bana