Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

Status
Not open for further replies.
Sijamuona Profesa Jay!!! Atakua anajuta sana kwa kujiunga na Chadema
 
Mimi ni muislam ila kwa hili siwezi kusapoti, kuna waislam wengi sana wanafunga hawajui watafuturu nini kwanini asiwafutarishe hao akaamua kuchukua watu wenye uwezo? pili mbona wengine ni kama wakristo eg. crazy GK n AY inAMAANA HAO PIA WAMEFUNGA? nafikiri angesubiri mfungo uishe angewakaribisha dinner
 
Badala ya kuwakaribisha wenye viwanda,wakulima wakubwa,wafugaji,wataalam wamshauri yeye anakutana na wabeba unga
 
Strategy nzuri ya maandalizi ya Kampeni wakati utakapofika 2015. Hao wakikuunga mkono na kukuimba vizuri ujumbe unafika haraka.
 
Badala ya kuwakaribisha wenye viwanda,wakulima wakubwa,wafugaji,wataalam wamshauri yeye anakutana na wabeba unga
 
Na wewe resources za kututoa kucha na meno bila ganzi a.k.a Ramadhani Ighondu unazo, mabomu ya kutulipua kama ulivyolipua Soweto Arusha unayo...

Kama umeingia kwenye hili jukwaa lazima uheshimu maoni ya watu wengine, mbona wewe unatumia Jina la MwanaDiwani hutumii jina lako kamili, ambalo kimsingi ndio jina Ovu kuliko yote Tanzania kwa sasa. Wewe mambo ya burudani umeyakuta ukubwani baada ya kuja mjini, sisi tuko mjini longtime toka Enzi za akina Swalleh Jabir wanarap kwa kukopi nyimbo za watu, huwezi kuniambia habari za wanamuziki au wasanii wa bongo kualikwa Ikulu bila majina Kama Sugu, Jide na Prof Jay kuwemo. Tena Sugu ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi maana yake tayari ni role model kwa hao Punda wa Riziwani mliowaalika. Kama mna nia njema na mnataka thawabu toka kwa Mwenyezi Mungu msingeandaa futar na watu mnaowapenda halafu mkawaacha mnaopingana kimaslahi au kisiasa. Kwani Tanzania radio ni Clouds tu, mbona watangazaji wa redio zingine hamjawaalika kula futari? Mnaingiza unafiki hadi Ikulu kwa kumshauri rais wetu vibaya, huyo ni rais wa wasanii wote, sio rais wa wasanii vibaraka wa Ruge tu. Njoo tukupe shule ya Public Relations wewe mlibereli

Neno baada ya neno safi mkuu nadhani kwa elimu hii ubongo wake utaacha kufikiria makapi tena..
 
Na wewe resources za kututoa kucha na meno bila ganzi a.k.a Ramadhani Ighondu unazo, mabomu ya kutulipua kama ulivyolipua Soweto Arusha unayo...

Kama umeingia kwenye hili jukwaa lazima uheshimu maoni ya watu wengine, mbona wewe unatumia Jina la MwanaDiwani hutumii jina lako kamili, ambalo kimsingi ndio jina Ovu kuliko yote Tanzania kwa sasa. Wewe mambo ya burudani umeyakuta ukubwani baada ya kuja mjini, sisi tuko mjini longtime toka Enzi za akina Swalleh Jabir wanarap kwa kukopi nyimbo za watu, huwezi kuniambia habari za wanamuziki au wasanii wa bongo kualikwa Ikulu bila majina Kama Sugu, Jide na Prof Jay kuwemo. Tena Sugu ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi maana yake tayari ni role model kwa hao Punda wa Riziwani mliowaalika. Kama mna nia njema na mnataka thawabu toka kwa Mwenyezi Mungu msingeandaa futar na watu mnaowapenda halafu mkawaacha mnaopingana kimaslahi au kisiasa. Kwani Tanzania radio ni Clouds tu, mbona watangazaji wa redio zingine hamjawaalika kula futari? Mnaingiza unafiki hadi Ikulu kwa kumshauri rais wetu vibaya, huyo ni rais wa wasanii wote, sio rais wa wasanii vibaraka wa Ruge tu. Njoo tukupe shule ya Public Relations wewe mlibereli

U have a point bro!

1. Futari ingeonyesha upendo kwa wote bila ubaguzi

2.Inavyoonekana imebase kwenye station moja tu

3. Kutokuwepo kwa waasisi wa mziki wa kizazi kipya kama prof jay,jay dee,nature,sugu,afande sele ni wazi haileti picha nzuri

4.Hii inaonekana kabisa imeandaliwa na radio station flan

It is not good for a president kuingilia ugomvi btn wasanii na radio station!

M sure kikwete hao wasanii wakubwa walioachwa anawajua vizuri na mchango wao katika jamii

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Strategy nzuri ya maandalizi ya Kampeni wakati utakapofika 2015. Hao wakikuunga mkono na kukuimba vizuri ujumbe unafika haraka.

Kumbe JK bado yupo katika Kampeni?Lakini sishangai kwani JK amekuwa busy na Kampeni badala ya kuongoza kwa muhula wote wa kwanza.Nikadhani baada ya Uchaguzi wa 2010 sasa ataanza kutuongoza nahisi nilikosea kumbe mwenzetu Kampeni hazijaisha?
 
Anaconda na Prof Jay Haule MC Shupavu hawakualikwa na vile sio Punda wa kubeba Sembe za Riziwani. Naona Team Ruge ilihusika kugawa mialiko maana msanii nguli kuliko wote Mr Sugu angekuwepo kuwaonyesha vijana njia but kwa vile ni mpinzani kisiasa asije ikulu.

Umenikumbusha dah!
 
bongo fleva na Ramadhan?hii mbona maajabu mengine..Mkuu hata Dini yake haijui?..sina tatizo kama angewaalika kipindi tofauti na ramadhan.na pia sio bongo fleva peke yake wasanii wote kwa ujumla.ameonyesha ubaguzi wa wazi kabisa..bora andelee kula kuliko kujitesa na njaa..afadhali hata mengi huwa anaonyesha mfano kula na walemavu..tena kila mwaka...bora upigwe tu na pk huna akili..
 
Jaydee,j nature,prof jay,afanxe sele na sugu cjawaona hapo
 
U have a point bro!

1. Futari ingeonyesha upendo kwa wote bila ubaguzi

2.Inavyoonekana imebase kwenye station moja tu

3. Kutokuwepo kwa waasisi wa mziki wa kizazi kipya kama prof jay,jay dee,nature,sugu,afande sele ni wazi haileti picha nzuri

4.Hii inaonekana kabisa imeandaliwa na radio station flan

It is not good for a president kuingilia ugomvi btn wasanii na radio station!

M sure kikwete hao wasanii wakubwa walioachwa anawajua vizuri na mchango wao katika jamii

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Sasa Kama walialikwa na hawakuja JK angewafuata majumbani Kwao? Hata ukiwa muasisi lakini huonyeshi uasisi wako sisi tufanyaje? Hata hao waasisi sasa wengi wao hawana tena mvuto Mbele ya jamii....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom