Samia ana maadui kwani nae ni dhalimu kama yule dikteta wenu?Mbona wanapokuwa nchi za watu huko ule ulinzi wa mikwara mingi unakuwa haupo ?!. Hivi kumbe maadui wa urais wetu ni wananchi wenyewe na si mabeberu ?!
Ukisikia watu wanaitwa nyumbu uwe unaelewaIngekuwa ni Hichilema hapo makamanda uchwara wa ufipa wangesifia kuwa Hichilema amepunguza matumizi kwa kusafiri na ndege ya abiria na ni mfano wa kuigwa.
Mi nimeuliza tu. Mbona huko kwa wenye nchi zao hakuna ulinzi huo wa mikwara ?!. Sisi wakija hapa ulinzi mpaka wanapanda juu ya paa yetu ya ikulu.Samia ana maadui kwani nae ni dhalimu kama yule dikteta wenu?
Si mlikuwa mnasema Magufuli anajiwekea huo ulinzi sababu ni dikteta?
Apenjo apenja [emoji120]Jaduong, swali gani hili?
Ilitakiwa apande melikebu sio ndege. Ndege ni anasa
Good point.Watu wenye akili na busara hukosoa mambo ya kweli na sio mambo ya kufikirika!! Humu jamvini kuna mtu alituaminisha kuwa mama amekwenda huko Glasgow na DREALINER ya ATCL ambayo itamgoja at an exorbitand expenditure to the company mpaka hapo mkutano utakapokwisha!!!
Sasa leo nashangaa namuona mama Samia na Ujumbe wake wanarudi na EMIRATES; hiyo ndege ya ATCL mliosema ingemgoja na kumrudisha iko wapi? Ni vizuri kwa Taifa letu kama tutajifunza kuwa wakweli!!!
Yupi uliekuwa ukimpenda...?Nimemchoka na kumkinai sana huyu mama. Mungu anisaidie tu
Kwani umewahi kumpenda?Nimemchoka na kumkinai sana huyu mama. Mungu anisaidie tu
wanatuaminisha mabeberu ni hatari sana lakini wakienda kwao wanaenda shopping bila msafara wa walinzi, wakiwa home wanafunga njia na mpaka vifaru vinawasindikiza 🤣,wanawaamini mabeberu kuliko sisi nafikiriMbona wanapokuwa nchi za watu huko ule ulinzi wa mikwara mingi unakuwa haupo ?!. Hivi kumbe maadui wa urais wetu ni wananchi wenyewe na si mabeberu ?!
Hewa unnecessary, Dr maharage wa wapi wewe 🤣Rais aachane na barakoa. Zinamuongezea ugumu wa kupata hewa unnecessarily. Wasaidizi wamshauri aachane nazo. Afya yake ni muhimu sana kuliko hivyo vitambaa puani. Wakubwa wote huko Glasgow hawakuwa na barakoa all the time kama Mama!Na hao ndiyo wenye corona yao! Cha kushangaza waTZ wengi hawajachanja na hawana barakoa!Waliochanja ndiyo wanaongoza kwa barakoa!
You're honest, at least.Nimemchoka na kumkinai sana huyu mama. Mungu anisaidie tu