Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #21
Hao ni watoa taarifa mkuu, sio wapinzani wa kweli kama baadhi ya watu wanavyo hadaiwa na wanasiasa uchwara hao.Hapa Lema anamshauri Rais kuhusu teuzi zake, wanamwambia silaha gani za kutumia.
Hii inaonyesha hofu na kukosa focus kwenye siasa zao.
Bado hawajajua adui yao ni nani. Kwa hofu n udhaifu wanaonyesha kama hivi Makonda atawararua tu.
Hahahaha basi nimeelewa sasaMshana sayansi ziko nyingi, hata hii inaitwa sayansi mahusiano!
View attachment 2815398
Samia ana akili Bilioni.Ogopa sana watu wenye uwezo mkubwa wa kuhimili hisia hasi.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Wakati Rais wa awamu ya tano mheshimiwa John P. Magufuli anaingia madarakani, miongoni mwa vitu vya kwanza kabisa alivyovifanya katika uongozi wake ni kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa akiamini kwamba mikutano hiyo ilichangia uzorotaji wa kuleta maendeleo katika nchi yetu. Kwani ilifika kipindi watu walishindwa au kukataa kwenda kufanya kazi na badala yake kwenda kushinda mikutanoni.
Hali hii iliwaumiza sana wapinzani, kwani hawakuwa na pa kusemea, wengi waliamini kwamba nguvu ya upinzani hupatikana kupitia mikutano mbali mbali ya hadhara, hivyo kukataa mikutano ni kuuwa nguvu za wapinzani indirect. Hivyo walipaza sauti na kulalamika kwa kila hali ili mikutano hiyo ifunguliwe bila mafanikio.
Alipofariki Magufuli, na kuingia raisi Samia madarakani, yeye alikubali kufanya mabadiliko kwa baadhi ya mambo ili aweze kwenda sawa na wapinzani wake.
Moja kati ya mambo aliyokubaliana na wapinzani wake ni kuruhusu mikutano ya vyama, kwa masharti ya kufanya mikutano hiyo kwa njia ya amani, bila matusi wala fujo.
Marufuku ikatolewa wapinzani haswa Chadema wakaanza kazi kwa kuandaa mikutano, na operation mbali mbali za kuzunguka nchi. Baada ya muda hali ikabadilika, alieruhusu mikutano ifanyike ambae ndio mkuu wa nchi akaanza kuambiwa ana akili za ma..to..pe na makamu mwenyekiti wa chama fulani cha upinzani, eti kisa ni mkataba wa bandari.
Hali ikawa mbaya matusi yakatamalaki, hadi vyombo vya usalama vikaingilia kati ili kuzuia zile siasa za majitaka za 2010 hadi 2015 zisijirudie tena.
Baada ya vyombo vya usalama kuingilia kati, makamu akatimkia Ulaya kuangalia familia yake na kupeleka hela za ada za watoto wanaosoma kule baada ya kuzipata hela hizo kupitia michango ya wanachama wao masikini na wanyonge mbali mbali.
Wakati makamu akiwa Ulaya, mwenyekiti nae hakutaka kuonekana kuwa yeye anategemea nguvu ya soda kutoka kwa makamu, mwenyekiti nae akaanza kuzunguka na chopa huku akisema aliyoyasema.
Alieruhusu mikutano akaangalia aina ya siasa wanayofanya wapinzani wake, akaona dawa ya hao wapinzani ni kuwaletea kijana atakaewapeleka mchaka mchaka hadi wale wasiosema waseme.
Sasa kijana yuko kazini, wapinzani waliokuwa wanalalamika kuhusu mikutano, leo hii kwa hiari yao wenyewe wameacha kuendelea na mikutano, na hakuna njia tena ya kumlaumu raisi kuwa anakataza mikutano na wakati ni wenyewe ndo wamekataa kuendelea na mikutano kutokana na kukosa ushawishi kama wa kijana wa raisi.
Kwa sasa hasikiki, wala kuonekana Zito, Lisu, Mbowe, Mbatia, Lipumba wala mzee wangu wa ubwabwa mh Hashim Rungwe.
Usione ikibinda nkoi zipo mjini ukadhani ni kama pua kila mtu anayo! Zimetengenezwa kwa kilio na jasho!
Ngoja tumsikilizie kwanza muuaji aliyeteuliwa kuongoza chama dolaWatoa Taarifa Wote kimyaaaa 😂🔥
Mpaka sasa huko upinzani amekosekana mtu wa kujitahidi kuuzima moto wa katibu mwenezi alieletwa na mh Samia ili awagalagaze 🤣🤣🤣Samia ana akili Bilioni.Ogopa sana watu wenye uwezo mkubwa wa kuhimili hisia hasi.
Karma ya mauaji ya Chacha Wangwe inamuandama mwenyekiti wa chama cha upinzani mdogo mdogo, hadi kupelekea chama hicho kupoteza ushawishi kama zamani.Ngoja tumsikilizie kwanza muuaji aliyeteuliwa kuongoza chama dola
Kwani Samia mnadhani hajui kuwa Makonda siyo msafi? Anajuwa kabisa kuwa Makonda ni muuaji, dhulmati na mtekaji ila amewapa wanachotaka.Alieruhusu mikutano akaangalia aina ya siasa wanayofanya wapinzani wake, akaona dawa ya hao wapinzani ni kuwaletea kijana atakaewapeleka mchaka mchaka hadi wale wasiosema waseme.
Sasa kijana yuko kazini, wapinzani waliokuwa wanalalamika kuhusu mikutano, leo hii kwa hiari yao wenyewe wameacha kuendelea na mikutano, na hakuna njia tena ya kumlaumu raisi kuwa anakataza mikutano na wakati ni wenyewe ndo wamekataa kuendelea na mikutano kutokana na kukosa ushawishi kama wa kijana wa raisi.
Kwa sasa hasikiki, wala kuonekana Zito, Lisu, Mbowe, Mbatia, Lipumba wala mzee wangu wa ubwabwa mh Hashim RuRungwe.Kwqni
Mtoto jeuri (Chadema) dawa yake ni kiburi (Makonda) 🤣🤣🤣Kwani Samia mnadhani hajui kuwa Makonda siyo msafi? Anajuwa kabisa kuwa Makonda ni muuaji, dhulmati na mtekaji ila amewapa wanachotaka.
Hiyo sasa ndiyo siasa. Unamkabili adui kwa kasi ileile anayokuja nayo. Akija kwa staha unakwenda naye kwa staha. Akija kwa matusi na dharau unammuonyesha dharau mara 10 zaidi.
Hawa pimbi wenu akina Lissu na Mdude wamekuwa wakitukana kila siku mnawachekea. Sasa wame beep na mama kawapigia.
Hapa hapigwi mtu risasi kama Magufuli alivyokuwa anapiga akina Lissu, wala mtu hatekwi na kufunguliwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
Samia atashindana kwa performance, sera nzuri uongozi bora.
Ufisadi uko wa aina nyingi. Hata huu wa mafisadi kumpitisha fisadi mwenzao agombee uraisi nao pia ni miongoni mwa ufisadi 🤣🤣🤣Anatumia sayansi pia kufanya ufisadi
View attachment 2815559
Kwa iyo unakubali kuwa aya yanayotokea leo yamepangwa?Ni kweli kila kitu hupangwa ila inategemea na upangaji.
Yawe yamepangwa au hayakupangwa, lkn hayatoondoa ukweli kwamba raisi Samia kajua kuwadhibiti wapinzani wake wasiendelee na mikutano kupitia Paul Makonda na wenyewe mnaona jinsi wapinzani hao walivyonywea.Kwa iyo unakubali kuwa aya yanayotokea leo yamepangwa?
UjingaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Wakati Rais wa awamu ya tano mheshimiwa John P. Magufuli anaingia madarakani, miongoni mwa vitu vya kwanza kabisa alivyovifanya katika uongozi wake ni kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa akiamini kwamba mikutano hiyo ilichangia uzorotaji wa kuleta maendeleo katika nchi yetu. Kwani ilifika kipindi watu walishindwa au kukataa kwenda kufanya kazi na badala yake kwenda kushinda mikutanoni.
Hali hii iliwaumiza sana wapinzani, kwani hawakuwa na pa kusemea, wengi waliamini kwamba nguvu ya upinzani hupatikana kupitia mikutano mbali mbali ya hadhara, hivyo kukataa mikutano ni kuuwa nguvu za wapinzani indirect. Hivyo walipaza sauti na kulalamika kwa kila hali ili mikutano hiyo ifunguliwe bila mafanikio.
Alipofariki Magufuli, na kuingia raisi Samia madarakani, yeye alikubali kufanya mabadiliko kwa baadhi ya mambo ili aweze kwenda sawa na wapinzani wake.
Moja kati ya mambo aliyokubaliana na wapinzani wake ni kuruhusu mikutano ya vyama, kwa masharti ya kufanya mikutano hiyo kwa njia ya amani, bila matusi wala fujo.
Marufuku ikatolewa wapinzani haswa Chadema wakaanza kazi kwa kuandaa mikutano, na operation mbali mbali za kuzunguka nchi. Baada ya muda hali ikabadilika, alieruhusu mikutano ifanyike ambae ndio mkuu wa nchi akaanza kuambiwa ana akili za ma..to..pe na makamu mwenyekiti wa chama fulani cha upinzani, eti kisa ni mkataba wa bandari.
Hali ikawa mbaya matusi yakatamalaki, hadi vyombo vya usalama vikaingilia kati ili kuzuia zile siasa za majitaka za 2010 hadi 2015 zisijirudie tena.
Baada ya vyombo vya usalama kuingilia kati, makamu akatimkia Ulaya kuangalia familia yake na kupeleka hela za ada za watoto wanaosoma kule baada ya kuzipata hela hizo kupitia michango ya wanachama wao masikini na wanyonge mbali mbali.
Wakati makamu akiwa Ulaya, mwenyekiti nae hakutaka kuonekana kuwa yeye anategemea nguvu ya soda kutoka kwa makamu, mwenyekiti nae akaanza kuzunguka na chopa huku akisema aliyoyasema.
Alieruhusu mikutano akaangalia aina ya siasa wanayofanya wapinzani wake, akaona dawa ya hao wapinzani ni kuwaletea kijana atakaewapeleka mchaka mchaka hadi wale wasiosema waseme.
Sasa kijana yuko kazini, wapinzani waliokuwa wanalalamika kuhusu mikutano, leo hii kwa hiari yao wenyewe wameacha kuendelea na mikutano, na hakuna njia tena ya kumlaumu raisi kuwa anakataza mikutano na wakati ni wenyewe ndo wamekataa kuendelea na mikutano kutokana na kukosa ushawishi kama wa kijana wa raisi.
Kwa sasa hasikiki, wala kuonekana Zito, Lisu, Mbowe, Mbatia, Lipumba wala mzee wangu wa ubwabwa mh Hashim Rungwe.
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Wakati Rais wa awamu ya tano mheshimiwa John P. Magufuli anaingia madarakani, miongoni mwa vitu vya kwanza kabisa alivyovifanya katika uongozi wake ni kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa akiamini kwamba mikutano hiyo ilichangia uzorotaji wa kuleta maendeleo katika nchi yetu. Kwani ilifika kipindi watu walishindwa au kukataa kwenda kufanya kazi na badala yake kwenda kushinda mikutanoni.
Hali hii iliwaumiza sana wapinzani, kwani hawakuwa na pa kusemea, wengi waliamini kwamba nguvu ya upinzani hupatikana kupitia mikutano mbali mbali ya hadhara, hivyo kukataa mikutano ni kuuwa nguvu za wapinzani indirect. Hivyo walipaza sauti na kulalamika kwa kila hali ili mikutano hiyo ifunguliwe bila mafanikio.
Alipofariki Magufuli, na kuingia raisi Samia madarakani, yeye alikubali kufanya mabadiliko kwa baadhi ya mambo ili aweze kwenda sawa na wapinzani wake.
Moja kati ya mambo aliyokubaliana na wapinzani wake ni kuruhusu mikutano ya vyama, kwa masharti ya kufanya mikutano hiyo kwa njia ya amani, bila matusi wala fujo.
Marufuku ikatolewa wapinzani haswa Chadema wakaanza kazi kwa kuandaa mikutano, na operation mbali mbali za kuzunguka nchi. Baada ya muda hali ikabadilika, alieruhusu mikutano ifanyike ambae ndio mkuu wa nchi akaanza kuambiwa ana akili za ma..to..pe na makamu mwenyekiti wa chama fulani cha upinzani, eti kisa ni mkataba wa bandari.
Hali ikawa mbaya matusi yakatamalaki, hadi vyombo vya usalama vikaingilia kati ili kuzuia zile siasa za majitaka za 2010 hadi 2015 zisijirudie tena.
Baada ya vyombo vya usalama kuingilia kati, makamu akatimkia Ulaya kuangalia familia yake na kupeleka hela za ada za watoto wanaosoma kule baada ya kuzipata hela hizo kupitia michango ya wanachama wao masikini na wanyonge mbali mbali.
Wakati makamu akiwa Ulaya, mwenyekiti nae hakutaka kuonekana kuwa yeye anategemea nguvu ya soda kutoka kwa makamu, mwenyekiti nae akaanza kuzunguka na chopa huku akisema aliyoyasema.
Alieruhusu mikutano akaangalia aina ya siasa wanayofanya wapinzani wake, akaona dawa ya hao wapinzani ni kuwaletea kijana atakaewapeleka mchaka mchaka hadi wale wasiosema waseme.
Sasa kijana yuko kazini, wapinzani waliokuwa wanalalamika kuhusu mikutano, leo hii kwa hiari yao wenyewe wameacha kuendelea na mikutano, na hakuna njia tena ya kumlaumu raisi kuwa anakataza mikutano na wakati ni wenyewe ndo wamekataa kuendelea na mikutano kutokana na kukosa ushawishi kama wa kijana wa raisi.
Kwa sasa hasikiki, wala kuonekana Zito, Lisu, Mbowe, Mbatia, Lipumba wala mzee wangu wa ubwabwa mh Hashim Rungwe.
Huyu mzee tukimpa nchi basi walimaji wa mahindi na wauza unga watahamia Malawi 🤣🤣🤣Nilipokuelewa ni ulipomuita mzee wa Ubwabwa muheshimiwa, huyu jamaa namkubali sana sera zake za kupeleka bahari Dodoma na kugawa ubwabwa mashuleni na uraiani... hapo tu!!!
Hela mlizochanga masikini kwenye mikutano ya Chadema zilitumika hivi
Haya huo ni mtazamo wakoYawe yamepangwa au hayakupangwa, lkn hayatoondoa ukweli kwamba raisi Samia kajua kuwadhibiti wapinzani wake wasiendelee na mikutano kupitia Paul Makonda na wenyewe mnaona jinsi wapinzani hao walivyonywea.