Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Operation 255 ilipangwa kufanywa nchi nzima. Na kabla ya katibu mwenezi wa CCM kuapishwa mwenyekiti wa Chadema alikuwa ameshafika Tunduma anajiandaa kuingia katika mikoa mingine iliyobaki kama ratiba yao inavyoeleza.Sasa ulitaka kila siku Wapinzani wawe kwenye majukwaa au mabarabarani wakiendesha mikutano?
Wazee wa siasa za porojo wanaogopa aibu kwa vile mikutano yao haipati watu 🤣🤣Upuuzi mtupu