PICHA: Rais Samia na Peter S Greenberg wakiandaa Royal tour lakini hakuna 'social distancing'

Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608


Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..

Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
 
Zero distance mkuu. Maana Covid is real
 
Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Kwa "pose" hii iliyopo katika picha, akiiona "First Gentleman" sijui kama ndani kutakalika.
Probable questions:
1) Siku zote nakuona umevaa barakoa tena ukijitenga na watu, imekuaje umekaa mkao ule na yule beberu?
2) Hivi kuutangaza utalii ni lazima ushikane shikane na yule beberu!?

Ndoa ndoana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…