Nimekumbuka ile quote ya Nyerere unayoisema….. usishikane mikono na babu wa kizungu kama hujawahi kufanya hivyo kwa mtanzania mwenzio…kuna mtu alimkoti Nyerere sikumbuki alisemaje sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka ile quote ya Nyerere unayoisema….. usishikane mikono na babu wa kizungu kama hujawahi kufanya hivyo kwa mtanzania mwenzio…kuna mtu alimkoti Nyerere sikumbuki alisemaje sijui
Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Kwa taarifa yako hawa wanaoandika negative about our President ni sukuma gang. Mama awakanye wanawe huko Lumumba.![]()
Peter Greenberg - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
We mlevi umeandika lugha gani?Mtu bee hemani.
Pitia wanaochukuaga form za kugombea ndio utakua urais unachukuliwaje siku izi.Hii ni dharau kwa mamlaka ya urais.
Huyu mama anaufanya urais kuwa kitu kidogo sana
Kisukuma hichi baghosha.We mlevi umeandika lugha gani?
Hakuna zero distance unamaanisha nini?Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Achana na zero distance hata dini hairuhusuZero distance mkuu. Maana Covid is real
Hicho kiwiko cha beberu hakijakaa sawa 😆😆
Hakuna zero distance au hakuna 1M distance? Mi naona zero distance
Hamna kitu,nimeenda kwenye tweet yake yaani comment ni za wabongo 90%Kwani huyo mzungu ni nani hasa? anatambulikaje kwenye tasnia ya utalii?
AtafutweYule aliyeondolewa tezi dume Yuko wapi siku hizi?