Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Pumbavu weweKwa taarifa yako hawa wanaoandika negative about our President ni sukuma gang. Mama awakanye wanawe huko Lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu weweKwa taarifa yako hawa wanaoandika negative about our President ni sukuma gang. Mama awakanye wanawe huko Lumumba.
Safi sana Rais wangu.Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Kwani unateseka mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanza wameshikana kimahaba sana
AiseeWalinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
First gentleman alitoa idhini!!? Imani yetu hairuhusu mke na mme wa mtu kugusanaWalinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Binadam tuna kazi kwerkweri mkuu![]()
Peter Greenberg - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
Maelezo meeeengi. unajua kanuni za COVID?Sioni tatizo lolote la hii picha. Nilienda Canada. Mke wa Waziri Mkuu aliomba kupiga picha nami. Aliyepiga picha ni mume wake. Nilikuwa na shaka kidogo, nikakipu distance, lakini mke wa Waziri mkuu alilalamika akiomba nimkumbatie. Nilishtuka kidogo, nikamtazama mumewe, yeye akafurahi na kuniambia, please do it. Nilimkumbatia, mumewe akapita picha. Tukapeana mikono kwa furaha kubwa.
Kwani kuwa Rais, ubinadamu wake umebadilika?
Tuangalie mambo makubwa. Tukosoa mambo makubwa, kama ya kubambikia watu kesi za ugaidi, siyo picha. Ningeshangaa kama angekuwa amepiga picha, labda akiwa nusu uchi, lakini siyo kwa hii picha.
![]()
Peter Greenberg - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
Endelea kupiga kelele ambazo haziskikiHii ni dharau kwa mamlaka ya urais.
Huyu mama anaufanya urais kuwa kitu kidogo sana
niteseke kwani ni demu?Kwani unateseka mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni mtizamo wa kijuha na kuishiwa hojaHivi kila mwenye mtazamo hasi juu ya jambo Fulani ni Chadema? Bongo inafurahisha sana
Loyo tuaWalinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
What is zis?
Loyo tuaWalinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608