Ngao Ya Imani
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 171
- 509
Wivu tu ndio unaokusumbuwa
Inawezekana ni wivu.Wivu tu ndio unaokusumbuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu ndio unaokusumbuwa
Inawezekana ni wivu.Wivu tu ndio unaokusumbuwa
Tulimkataa MAGUFULI Mungu katupa HANGAYA
TAFSIRI ya kabila letu neno HANGAYA maana yake KUA UYAONE.
nadhan tunajionea Sasa watanzania
#AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGUU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anatakiwa alalmike mume wakekwanza wameshikana kimahaba sana
Kwa kufanya tour ya siku 7 na hizo siku angekaa ofisini tu kungekua na utofauti?Ni Kama kauchoka hivi uraisi
Una matatizo!!Sijui kwanini nimejisikia vibaya namna hii kwa hii picha!!
Aseee mama kuna wakat anajisahau kama yeye ni rais kwakwelWalinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Kachafuliwa wap sasa hapa na wewe mbona povu tu kama huelewi?![]()
Peter Greenberg - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
Taarabu katika ubora
we mume wake unamjua?Anatakiwa alalmike mume wake
Yeye au cameraman wake?Madame President afundishwe jinsi ya kupiga picha kulingana na status yake
Huyu mzungu asitake kumzoea saana Mama yetu....Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
True Very stupid ,tusubiri wazungu kutushika matako tu wasasa ,nchi inaitaji kiongozi jasiri mwenye upeo siyo kusujudia mzunguHii ni dharau kwa mamlaka ya urais.
Huyu mama anaufanya urais kuwa kitu kidogo sana
Huyo mzungu ni bash matata yupo hadi kwenye picha za xnxx miaka ya 1992 hadi 2002Kwani huyo mzungu ni nani hasa? anatambulikaje kwenye tasnia ya utalii?
Yeye chiefYeye au cameraman wake?
Nchi imeshikwa na deep state sasa,shadow government ndio inaongoza nchi,mama yupo kama alama tu she is like petty dog,burking dog with out teeth.Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Wamechanjwa hao, kachanje acha keleleZero distance mkuu. Maana Covid is real