Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hamna tatizo lolote hapo, isitoshe walengwa wa hiyo filamu tamaduni zao zipo hivyo.Angeweza kufanya hiyo acting kwa staha zaidi kama Rais wa nchi na ujumbe ukafika vile vile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna tatizo lolote hapo, isitoshe walengwa wa hiyo filamu tamaduni zao zipo hivyo.Angeweza kufanya hiyo acting kwa staha zaidi kama Rais wa nchi na ujumbe ukafika vile vile!
Kama walengwa hatukiwa Sisi ambao utamaduni wetu hauko hovyo kwanini walituonesha? Walitaka tumuone Rais wetu akidharau utamaduni wetu?Hamna tatizo lolote hapo, isitoshe walengwa wa hiyo filamu tamaduni zao zipo hivyo.
Hapo aliuweka uraisi pembeni na hio filamu ni kwa ajili ya watalii na sio maraisiHii ni dharau kwa mamlaka ya urais.
Huyu mama anaufanya urais kuwa kitu kidogo sana
Kama walengwa hatukiwa Sisi ambao utamaduni wetu hauko hovyo kwanini walituonesha? Walitaka tumuone Rais wetu akidharau utamaduni wetu?
The Sunk Cost Fallacy ...Hapo aliuweka uraisi pembeni na hio filamu ni kwa ajili ya watalii na sio maraisi
Kwa hiyo? Social distancing ya nini wakati wamechanja na kila mda wanafanya check up ya Afya?