hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Wakuu Habari za weekend
Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2,
Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha,
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1 shida ni Rejeta
2 shida ni engine
3 shida ni gasket
4 au shida ni feni zile za kupoza?
Haya maswali 4 ndio mafundi wamesema ndio tatizo kuna mmoja kanambia nishushe injini kabisa
Sasa naomba mawazo kidogo
Hii gari ni NISSANI TEANA 230JM
Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2,
Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha,
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1 shida ni Rejeta
2 shida ni engine
3 shida ni gasket
4 au shida ni feni zile za kupoza?
Haya maswali 4 ndio mafundi wamesema ndio tatizo kuna mmoja kanambia nishushe injini kabisa
Sasa naomba mawazo kidogo
Hii gari ni NISSANI TEANA 230JM