Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Umeunguza gasket. Peleka gereji wabadilishe gasket. Pia mwambie fundi apime rejeta kama ni nzima na pia apime mfuniko.

Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba.

Kila mara unapofanya service ya gari fanya nayafuatayo kulinda mfumo wa upoozaji.

Pima rejeta, pima mfuniko, safisha rejeta na badilisha coolant.
Mmh!yan ubadilishe coolant kila baada ya km 3000 au 5000!🙄
 
Uzi ulikua unatoa elimu nzuri ila kuna watu wamekuja kuibadilisha umekua uzi wa kijinga
 
Back
Top Bottom