Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Nikirudi nikute umeiosha ili niitindueWewe mama wa nyumbani hakuna unachojua. Ngoja nikutafutie hela na kukuzalisha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikirudi nikute umeiosha ili niitindueWewe mama wa nyumbani hakuna unachojua. Ngoja nikutafutie hela na kukuzalisha tu
Umeona sasa unawaza ujinga tuuNilikunyonya denda ukaona mchafu we binti
Yaani hili jamaa sijui linaandika nini humu jukwaani.Jana umeacha mavi kitandani. Muulize delicious huwa anafanyaje akupe darasa
Muone sasa hata huelewi unaandika nnNikirudi nikute umeiosha ili niitindue
Mmh!yan ubadilishe coolant kila baada ya km 3000 au 5000!🙄Umeunguza gasket. Peleka gereji wabadilishe gasket. Pia mwambie fundi apime rejeta kama ni nzima na pia apime mfuniko.
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba.
Kila mara unapofanya service ya gari fanya nayafuatayo kulinda mfumo wa upoozaji.
Pima rejeta, pima mfuniko, safisha rejeta na badilisha coolant.
Vipi kuhusu feni kwamba haipulizi upepo kwenye rejeta ndiyo maana maji yanachemka?Kama mfuniko wa rejenta upo vizuri hapo shida ni Gaskets ya silinda head imekufa ndo inafanya hayo maji yanamwagika.