Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Ndio maana napambana kwaajili yako mremboInatafutwa kwa jasho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana napambana kwaajili yako mremboInatafutwa kwa jasho
Ni kikubwa mno mremboHeshima kitu kidogo,
Pambana kuacha ujingaNdio maana napambana kwaajili yako mrembo
Unacho hicho kidogo?Ni kikubwa mno mrembo
Unakitaka bibie?Unacho hicho kidogo?
Ndio nakupambania mremboPambana kuacha ujinga
Pambania ndugu zako, utakua maskini.Ndio nakupambania mrembo
Nakupambania mremboPambania ndugu zako, utakua maskini.
Acha pombeeNakupambania mrembo
Sawa Mke wanguAcha pombee
Rubish
Na kuvuta ugoro acha.Sawa Mke wangu
Sawa Mke wanguNa kuvuta ugoro acha.
siku moja gari ilizingua taa sasa nikashuka kuangalia why haiwakii... aisee kumbe huwa zinapata moto balaaa wee niliungua kidolee nikasema nishikie tshirt nayo shwaa duuh 😀 😀 😀Yale maji ukifungua mfuniko yalivyo ya moto umekwisha, hata kwenye gari inayochemsha kufungua mtu unachukua spana ya kufungua tairi na chuma cha jeki. Unatumia hivyo kuuzungusha na baada ya kuuweka wazi, unarudi chuma fasta sana
Acha upuuzi, elimika weweSawa Mke wangu
Sawa mke wanguAcha upuuzi, elimika wewe
Hapo ukute ushalewaSawa mke wangu
Sawa mke wanguHapo ukute ushalewa
Ukute hata hujaoaSawa mke wangu
Wewe ndio mke wangu, sijaoa vipi mama kijachoUkute hata hujaoa
JF ina mataahira.