yaani una hatari sana,bahati yako hukuungua,tuelezee vizuri ni kipi kilikufanya ufungue mfuniko wa rejeta baada ya km 2,na si 5 au 10,shida ilikuwa nini...
Mnanunua gari halafu hamna elimu ya magari vipi leseni ulisomea au ni kuletewaNiliona kama Moshi wa mvuke unatoka, Ila hata after gari kupoa, ukiweka maji ukawasha kama 5mn inafanya the same
Itakuwa ina-SQUIRT baada ya kupigwa mboko sanaWakuu Habari za weekend
Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2,
Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha,
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1 shida ni Rejeta
2 shida ni engine
3 shida ni gasket
4 au shida ni feni zile za kupoza?
Haya maswali 4 ndio mafundi wamesema ndio tatizo kuna mmoja kanambia nishushe injini kabisa
Sasa naomba mawazo kidogo
Hii gari ni NISSANI TEANA 230JM
View attachment 2675046
View attachment 2675047
Mwana kulifind…..mwana kuliget!Niliona kwenye kifuniko kama moshi wa mvuke unatoka
Ulisoma vigezo vya kuquote comments zangu?Ulisoma umri wa kujiunga JF.?
Mwana kulifind…..mwana kuliget!
Mkuu ipo hivii, tumia dashboard yako kusoma gari kama inachemsha au la. Kwenye dashboard mshale wa temperature utakuwa kwenye red kama gari linachemsha kama sivo basi position ya mshale itakuwa around hapo kwenye nusu ya gauge.
Gari iliyounguza cylinder head gasket au kupindisha cylinder head huwa inaingiza upepo kwenye cooling system na dalili yake kuu ni gari kuchemsha na kurudisha maji kwenye reserve tank.
Iwapo pia mfuniko wako wa rejeta ni mbovu basi gari itarudisha maji kwenye reserve tank.
Kabla hujagusa cylinder head au gasket ya cylinder head au rejeta, hakikisha umebadili mfuniko wa rejeta then watch gauge ya temperature kwenye instrumental cluster hapo.
Ni hayo tuu, I hope umeelewa.
Kwa Dar duka la rejeta mpya na used ni wapiPole sana, ngoja waje kukupa muongozo...
Sawa dalaliRudi kwenye kukwaa lako la watoto, huku umepotea