Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana namnaMajizi ya CCM yakiona hivi yanatamani kufyonya
Mzee ongeza juhudi zaidi ili posho itoshe kuziba mapengo yote katika mdomo wako.Kutoka wabunge 70 mpaka 2.
labda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwakeKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Ameondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokandoHuko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
naomba Aerial picture tafadhaliAmeondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
Mnapata tabu sana ya kutafuta Angle kwa ajili ya picha za kurusha mitandaoni ...labda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwake
Hivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!Mnapata tabu sana ya kutafuta Angle kwa ajili ya picha za kurusha mitandaoni ...
jibu hoja ya Majaliwa , mnafiki mkubwa wee !Mnapata tabu sana ya kutafuta Angle kwa ajili ya picha za kurusha mitandaoni ...
Labda ushindi wa ndondi ila kama ni uchaguzi, Lissu anawapiga vibaya mwaka huu!!Oktoba 28 ushindi wa ccm ni asilimia 98
Mkuu inaonekana uliipendea Chadema kwa ofa za konyagi.Hivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
yaani hawana hata wanachokipata , wananuka njaa hadi kwenye kwapaHivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
Wenzako wanachoma mbuzi wa taifa sahizi, wewe unatupigia kelele huku.