Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Duh! Kaburi limefukuliwa...Jiandae kisaikolojia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kaburi limefukuliwa...Jiandae kisaikolojia
Kutoka wabunge 70 Hadi 1 kichapo Cha shoga mwizi.labda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwake
Una roho ya nyumbu hukumbuki hata moja mlivyochapwa kichapo Cha shoga mwizi bado unasifu na kuabudu hiyo saccos.Hivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
Wewe nyumbu Leo husemi lolote baada ya huyo shoga wenu kupata kipigo Cha shoga mwizi.Labda ushindi wa ndondi ila kama ni uchaguzi, Lissu anawapiga vibaya mwaka huu!!
Unakumbuka ujinga huu wewe nyumbu?Hapo Lissu hajakanyaka Bado, raha!
Wakati hujawehuka. Leo unajionaje?labda kama umewehuka
Nyumbu leo unajionaje? Hamna akili zenu za kuvukia barabara?Jana Jiwe pamoja na kuwapigisha magoti na push up madiwani wa mkoa wa mara lkn wana mara hawana time na ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumbu ni woote walio kupatia kwenye mkesha wa mbio za mwengeNyumbu leo unajionaje? Hamna akili zenu za kuvukia barabara?
Pumbavu, Kwani mlishinda? StupidUnakumbuka ujinga huu wewe nyumbu?
Nani shoga kwanza???Wewe nyumbu Leo husemi lolote baada ya huyo shoga wenu kupata kipigo Cha shoga mwizi.
Mmepigwa na bado unamwabudu huyo mbwatukaji wenu Lissu na waziri mkuu ndani ya saa72.
Kamanda vipi, upo? Mungu ambariki Esther MatikoHuu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti.
Mungu ambariki Esther MatikoCCM imefutwa nchi nzima na CHADEMA , haikufutwa na individuals , kingine ambacho hukijui kutuhusu ni jinsi tusivyo na mswalie mtume na wasaliti , mcheki Dr Slaa atakupa taarifa zetu
Mungu ambariki Esther MatikoHatuwezi kukumbatia wasaliti kwa hofu ya kuitwa wabadili gia
Mungu ambariki Esther MatikoSijawahi kuwa rafiki wa wasaliti
Kushabikia chadema inabidi ukubali kuishi kwa stress sana.Nani shoga kwanza???
Alafu huna mandate ya kuongelea uchaguzi wowote ule kwa sababu mwaka huu hakukuwa na uchaguzi bali uchafuzi. Wana Ccm wenzako wote wanajua mmeiba ushindi wa Lissu kwa iyo kaa kimya tu. Acha kujidhalilisha.
Kamanda vipi, upo? Mungu ambariki Esther Matiko
Esther Matiko ni winner. Mungu ambariki Esther Matiko