Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Siwanasema ana phd yule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwanasema ana phd yule?
Mwanza akazomewa? Endelea kudanganya nyumbuAmeondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
Endeleeni kuotaLabda ushindi wa ndondi ila kama ni uchaguzi, Lissu anawapiga vibaya mwaka huu!!
Zungusha kiuno kama feni au mpe limbwata ndo@ yako inavurugwa na makamandaKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Mtaua watu. Yaani Ester anafanya haya kule Waziri Mkuu Majariwa amesusiwa kabisa. Alikuwa na mkutano kama na kundi fulani la madalali wa viwanja.Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti.
2015 jpm aliokolewa na Tume na tiss tuLowassa walimdekia barabara na kura wakamnyima.
Anapata mshahara wa dhambi alizotenda. Wacha zimtafune tu akafie mbele.Ameondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
labda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwake
Thubutu mmh lisu hashindi ng'o atabakia kupiga vuvuzela tuLabda ushindi wa ndondi ila kama ni uchaguzi, Lissu anawapiga vibaya mwaka huu!!
Ccm ni maiti inayo subiri kuzikwa tuThubutu mmh lisu hashindi ng'o atabakia kupiga vuvuzela tu
Yaani Unachekesha KITOTO kweli....Una CT SCAN na MRI ya Kuiona mioyo ya WANACCM tulio wengi nje ya Uongozi na uteule uusemao?!!!
Unakuza Mambo Kujifurahisha na kusahau kuwa chama hiki ni cha sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....
MAGUFULI tumempa ridhaa ya Uongozi Kama tunavyotaka kumpa sasa na akimaliza ataondoka na tumpe mwingine....
CCM ni IMANI,wewe endelea KUJIFURAHISHA....
yaani mwaka huu mtaisoma namba kimyakimya hakuna mbunge wa cdm wala ninilabda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwake
Mtajua hamjui mwaka huu!Thubutu mmh lisu hashindi ng'o atabakia kupiga vuvuzela tu
Mwanza wapi amezomewa Mkuu?Ameondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
Jana yupo na viongozi wa dini Arusha kuomba amani uchaguzi, ilihali yeye kajipisha kwa hila za kihuni bila sababu.labda mpiga kura awe Tumeccm , lakini vinginevyo ccm ina hali mbaya mno , ukitaka kujua haya muulize Majaliwa kisa cha kuinjinia utekaji wa wagombea jimboni kwake
🤣 🤣 baada ya kuwaengua kibabe washindani wenu. Yaani MATAGA ni wepesi sana kwa kweliKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Subirini majibu ya kuwafokea wananchi na kuwatisha.Kutoka wabunge 70 mpaka 2.