Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
2 kijaniKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2 kijaniKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Hapo Lissu hajakanyaka Bado, raha!Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti
View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
labda kama umewehukaOktoba 28 ushindi wa ccm ni asilimia 98
Jana Jiwe pamoja na kuwapigisha magoti na push up madiwani wa mkoa wa mara lkn wana mara hawana time na ccm.Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti
View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
Utawasikia wanasema fyoko fyokoMajizi ya CCM yakiona hivi yanatamani kufyonya
Jidanganyeni tu na hivi vipicha mnavyopiga kwa angle fulani fulani uhuni wenu kwisha hakuna wa kuwapa nchi wahuni watz Wana akili timamuHuu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti
View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
anawachimba mkwara anafikiri anawalishaHuko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Nini wawili? Sema toka 7o hadi 0 lkn watanzania bado wapo na imani na cdm, wameichoka ccm kwani ni majiziKutoka wabunge 70 mpaka 2.
Kwa wana wa musoma hawanaga masihara kabisa kwenye maamuzi yaoHuko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Umelipatia kweli hilo gambaMzee ongeza juhudi zaidi ili posho itoshe kuziba mapengo yote katika mdomo wako.
Lissu kwa sasa ndiye John Rambo wa siasa za tanzaniaAmeondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
Kama huna chanzo cha taarifa basi uwe unafuatana na Jiwe wakonaomba Aerial picture tafadhali
Jana mama Maria kawatoa nishaiMnapata tabu sana ya kutafuta Angle kwa ajili ya picha za kurusha mitandaoni ...
Huyo anakaa kwa shemeji yake ambaye ni diwani wa ccmHivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
Jiwe lazima atakuwa anatukana kwa kilugha tuWanapata tabu sana wakiona hivi.
Ila Mchato ni mtu wa hasira hasira sana.
John MAGUFULI si mwenye CCM...Ccm chini ya John imekufa. John mwenyewe ana kinywa kichafu Sana kimejaa ufedhuli na dharau.