Uchaguzi 2020 PICHA: Sasa ni Rasmi CCM yazikwa Tarime, Ester Matiko aongoza sala ya mwisho

Uchaguzi 2020 PICHA: Sasa ni Rasmi CCM yazikwa Tarime, Ester Matiko aongoza sala ya mwisho

Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti

View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
Uharamia, ufedhuli, udhalimu na uovu wa CCM sasa umeshapata dawa yake ya muarobaini.Shule za kata zimewatoa vijana wengi tongotongo la ujinga, sasa wamekuwa ndiyo chachu ya mabadiliko kwa wazazi na walezi wao. RIP CCM, makada walikupenda, lkn Watanzania wamewaona kuwa wana CCM ni vioja na mahoka tu, na wala hawastahili kuiongoza nchi yetu.
 
Uharamia, ufedhuli, udhalimu na uovu wa CCM sasa umeshapata dawa yake ya muarobaini.Shule za kata zimewatoa vijana wengi tongotongo la ujinga, sasa wamekuwa ndiyo chachu ya mabadiliko kwa wazazi na walezi wao. RIP CCM, makada walikupenda, lkn Watanzania wamewaona kuwa wana CCM ni vioja na mahoka tu, na wala hawastahili kuiongoza nchi yetu.

Wewe "lomokwa" Kama una MAPEPO.......

Maneno hayohayo Yarudie kuyasema hapa ikifika NOVEMBA,aaamina.
 
Ccm imekufa kwasabb kabaki nayo Magufuli tu na wale aliowapa ulaji (wateule). Lkn kwa akina mie CCM haipo moyoni mwao.
Yaani Unachekesha KITOTO kweli....Una CT SCAN na MRI ya Kuiona mioyo ya WANACCM tulio wengi nje ya Uongozi na uteule uusemao?!!!
Unakuza Mambo Kujifurahisha na kusahau kuwa chama hiki ni cha sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....

MAGUFULI tumempa ridhaa ya Uongozi Kama tunavyotaka kumpa sasa na akimaliza ataondoka na tumpe mwingine....

CCM ni IMANI,wewe endelea KUJIFURAHISHA....
 
sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....
Wakulima sisi hawa hawa ambao John ametuharihia masoko ya mazao yetu?

Wafanyakazi hawa hawa ambao hali zao zimekuwa mbaya kwa kunyimwa nyongeza za mishahara yao kwa miaka 5?
 
Hivi Watanzania wa Mijini Wameacha kusikia NJAA na KULA EEE?!!!!

Pale Ilala,Kkoo,Soko La ndizi na Stereo Malori ya VYAKULA HAYAKESHI KUVIPAKUA eee?!!!
Kama Ndivyo,Watanzania TumeMUTATE hatuli Tena😁😁😁

Hayo Maneno ya nyenyee MISHAHARA mmekariri TU.....shida ya mtumishi Ni mfumko wa Bei na si nyongeza ya MSHAHARA....unaonaje ulipwe Milioni 5 halafu kilo ya mchele ikawa LAKI MOJA?!!!

KALAGHABAHO!!
Wakulima sisi hawa hawa ambao John ametuharihia masoko ya mazao yetu?

Wafanyakazi hawa hawa ambao hali zao zimekuwa mbaya kwa kunyimwa nyongeza za mishahara yao kwa miaka 5?
 
Huko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Alitufokea
 
Asante dada Esther, hivi ndivo inavo takikana. aaaaaaaaaaaaaalzima kwa hali yoyote ile tuwapige wajue kama mwaka huu tumewapiga kigongo kwelikweli kiburi kiishe.
 
Back
Top Bottom