Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Kitendo cha kumdharau mpinzan wako ungali unaendelea na mapambano hilo Ni tatizo.Subirini majibu ya kuwafokea wananchi na kuwatisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitendo cha kumdharau mpinzan wako ungali unaendelea na mapambano hilo Ni tatizo.Subirini majibu ya kuwafokea wananchi na kuwatisha.
Bahati mbaya sana Meko anafikiri wakurya ni sawa na wasukuma, kwamba unaweza kuwafokea wakatishika, mimi niliona mwenyewe pale kijiji cha mwitongo, hata kijana mdogo tu wa kikurya unapomwambia jambo anataka uoneshe unamuheshimu, ukileta dharau anakubadirikia kama paka dume, wanawake nao hawako nyuma, ukimtongoza ukaenda nae chumbani anaweza kukubadirikia ukatoka chumbani umeshika nguo zako mkononi, ninafurahi jinsi meko alivyoharibu kuwafokea hao jamaa kwani ameifuta ccm huko yeye mwenyewe.Huko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea, wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Safi sn Mariko..... Kuna mikoa mingi watz sio mazezeta kabisa.....
Arusha
Mwanza
Mbeya
Iringa
Kilimanjaro
Kagera kidogo
Mara
Dar
Singida inaenda kua
Unguja
Nadhani uitoe mwanza, wakazi wa eneo hili lote (mwanza na shinyanga) hawawezi kuungana kusema kero zao, wamezoea kusema "ndoho tabu",
utaongeza mkoa wa morogoro
Imani yaweza kuwa ya mashetani na nguvu za giza, ndio maana mnaongoza kwa mauaji ya watu wasio na hatiaYaani Unachekesha KITOTO kweli....Una CT SCAN na MRI ya Kuiona mioyo ya WANACCM tulio wengi nje ya Uongozi na uteule uusemao?!!!
Unakuza Mambo Kujifurahisha na kusahau kuwa chama hiki ni cha sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....
MAGUFULI tumempa ridhaa ya Uongozi Kama tunavyotaka kumpa sasa na akimaliza ataondoka na tumpe mwingine....
CCM ni IMANI,wewe endelea KUJIFURAHISHA....
yaani hawana hata wanachokipata , wananuka njaa hadi kwenye kwapaView attachment 1561105View attachment 1561107View attachment 1561109
Jiandae kisaikolojiayaani mwaka huu mtaisoma namba kimyakimya hakuna mbunge wa cdm wala nini
Natamani huu uzi ufutweLife linaenda fasta sana. Saizi mleta uzi anaongoza kampeni ya kuwatukana wahusika😀
Mleta mada kaukimbia uzi.A
Natamani huu uzi ufutwe
CCM imefutwa nchi nzima na CHADEMA , haikufutwa na individuals , kingine ambacho hukijui kutuhusu ni jinsi tusivyo na mswalie mtume na wasaliti , mcheki Dr Slaa atakupa taarifa zetuMleta mada kaukimbia uzi.
Ester wa Covid 19 si ndo huyu aliefuta CCM Tarime?
Sijawahi kuwa rafiki wa wasalitiLife linaenda fasta sana. Saizi mleta uzi anaongoza kampeni ya kuwatukana wahusika😀
Subiri tuzoSijawahi kuwa rafiki wa wasaliti
Kama kawaida, wazee wa kubadili stori iendane na tukioCCM imefutwa nchi nzima na CHADEMA , haikufutwa na individuals , kingine ambacho hukijui kutuhusu ni jinsi tusivyo na mswalie mtume na wasaliti , mcheki Dr Slaa atakupa taarifa zetu
Hatuwezi kukumbatia wasaliti kwa hofu ya kuitwa wabadili giaKama kawaida, wazee wa kubadili stori iendane na tukio
Haa,,,,kumbe bado upo[emoji23]CCM imefutwa nchi nzima na CHADEMA , haikufutwa na individuals , kingine ambacho hukijui kutuhusu ni jinsi tusivyo na mswalie mtume na wasaliti , mcheki Dr Slaa atakupa taarifa zetu