Uchaguzi 2020 PICHA: Sasa ni Rasmi CCM yazikwa Tarime, Ester Matiko aongoza sala ya mwisho

Huko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Ameondoka Mara akijua kabisa hana chake anafika mwaza akakutana na zomea tena naona mzee safari hii anaona afadhali ya 2015 uzuri lisu hana makandokando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…