We mnapobakana au ufanyapo uzinzi unaweka liveIla mafichoni vinakubalika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mnapobakana au ufanyapo uzinzi unaweka liveIla mafichoni vinakubalika
Wananchi wameyachoka mashetani ya CCM, safari hii wanakwenda na Lissu mpaka kieleweke. MaCCM mwaka huu mtafute vitanzi vya kutosha mkajinyonge, mamamae zenu!Mambo yanazidi kuwaendea kombo CCM, CHADEMA wanakuja kwa kasi ya ajabu na kuwafunika CCM kila uchao. Mikutano ya CHADEMA imejaa vijana ambao huenda peke yao kwa mapenzi yao kwa chama tofauti na mikutano ya CCM ambayo amri hutolewa kutoka juu kwa njia ya barua kuwataka wafanyakazi kuhudhuria. CCM hutumia malori na mabasi kusomba watu kutoka vijijini kama ilivyorekodiwa huko Bariadi hapa chini.
Hapa ni Mbeya 5th September 2020 ufunguzi wa kampeni kanda ya Nyasa na Mh. Tundu Lissu.
View attachment 1559996
Hapa ni Bariadi nyumbani kwa Magu cheki malori na mabasi ya kusomba watu.
View attachment 1559993
Usipoteze muda kubisha kitu kinachoonekana waziHio hoja haina mashiko watz wanataka mabadiliko ccm chama chakavu kimepitwa na wakati
Kama kinaonekana wazi why nguvu kubwaUsipoteze muda kubisha kitu kinachoonekana wazi
Siyo kupooza tu, kuna mtu anatumika kama big GNajua baada ya october 28 Jf itapooza sana
Na hao wanaobebwa kwenye mafuso ni watu gani mkuu?
Vivo ivyo, hata mimi sijawai kumuona magufuli ntaenda kumuona tu na sitompigia kura