KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Wenye bodaboda wanabendera lakini hawajavaa nguo za kijani kwanini?! au wamewezeshwa mafuta full tank?
Na kwa idadi ya pikipiki za mwanza, mbona izo ni ka za kituo kimoja tu cha Pasiasi?!
Na kwa idadi ya pikipiki za mwanza, mbona izo ni ka za kituo kimoja tu cha Pasiasi?!