Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuli yako karne hii haikisaidii chama. Kwa hiyo kodi inalipwa kwa visasi, maana yakeni kuwa walioko ndani ya chama hawawajibiki kulipa kodi?Lowasa mwenyewe kapasuka atawezaje kupasua chama kwanza tunataka aanze kulipa kodi na zile biashara zake haramu tunaanza kudili naye atakufa mapema sana.
Sijawahi kufika Mwaza.
Panaonekana pazuri kweli .
Sijawahi kufika Mwaza.
Panaonekana pazuri kweli .