Elections 2015 Picha: Tulichokishuhudia katika mapokezi ya Magufuli Jijini Mwanza, upinzani unafutika

Elections 2015 Picha: Tulichokishuhudia katika mapokezi ya Magufuli Jijini Mwanza, upinzani unafutika

Mbona kama watu WA kawaida sana tena kwa historia ya CCM ya kupanga watu barabarani sizani kama hawa watu unaweza waita mafuriko.
 
Nilikuwa nasubiri huu umbea..nimeangalia ITV mpiga picture kajitahidi kuchukua usawa wa watu ila alikuwa napaotea km wewe hapa jamaa hakuwa hata na watu wa wenye ktk mkutano wa kawaida jimboni.Sidhani km kuna mbunge wa CDM anaweza kuwa na watu kidogo km magufuli tena ktk ukanda wake.

Upenzi mwingine ni wa kijinga tu,sote tulikuwepo na tuliona,inafaa kunyamaza tu au kusema na wewe ya kwako,wengine hatushabikii siasa lakini penye ukweli unapakataaje eti kisa tu wewe ni mpenzi wa chama kingine,ukweli jamaa hana mpinzani tunajua kazi zake acha tu aje ashike nchi tena namuombea apate,japo natamani wapinzani wawe wengi bungeni ili kumpa saport ya kuadabisha watenda kazi serekalini,Magufuli ni jembe bwana!
 
Kitu kimoja tu cha maana nilichoona maana mengine mbwembwe tu kuwa eti chama sasa kimerudi kwa wakulima na wafanyakazi, kumbe kilikuwa kwa manyang'au? Mbona ulikuwa unakipamba zamani zote bila kusema ukweli?
Kwa sababu watanzania bado ujinga ni mwingi labda mtapata
 
Upenzi mwingine ni wa kijinga tu,sote tulikuwepo na tuliona,inafaa kunyamaza tu au kusema na wewe ya kwako,wengine hatushabikii siasa lakini penye ukweli unapakataaje eti kisa tu wewe ni mpenzi wa chama kingine,ukweli jamaa hana mpinzani tunajua kazi zake acha tu aje ashike nchi tena namuombea apate,japo natamani wapinzani wawe wengi bungeni ili kumpa saport ya kuadabisha watenda kazi serekalini,Magufuli ni jembe bwana!
Ndugu,
Magufuli amekata hoja zao za Ufisadi na Uwajibikaji.

Kwa sasa wanajaribu kuokota hoja sehemu yoyote ile ili kuifurahisha roho yao.

Magufuli ni Rais wa Tanzania anayesubiri kuapishwa ili wananchi wafahamu maana ya uwajibikaji.
 
Ndugu,Magufuli amekata hoja zao za Ufisadi na Uwajibikaji.Kwa sasa wanajaribu kuokota hoja sehemu yoyote ile ili kuifurahisha roho yao.Magufuli ni Rais wa Tanzania anayesubiri kuapishwa ili wananchi wafahamu maana ya uwajibikaji.
Naomba ukumbuke hili na ukumbuke kwa moyo sana..things are moving so fast ,so fast that you less educated brain can`t digest.Kinachotokea sasa hivi ni avalanche before october itakuwa full scale catastrophe ...bahati mbaya utafagiliwa kwa utiifu kwa vivuli.
 
Mbona umepanic ghafla umepagawa nini hujui upo kwa nani Lowassa, Padre Slaa au utarudi kwa Lema Arusha.
inakuhusu nini wewe mgaagaa na pwani?Wewe si unasubiri kubadili master tuu una cha zaidi ya kuwa mtumwa.
 
Upenzi mwingine ni wa kijinga tu,sote tulikuwepo na tuliona,inafaa kunyamaza tu au kusema na wewe ya kwako,wengine hatushabikii siasa lakini penye ukweli unapakataaje eti kisa tu wewe ni mpenzi wa chama kingine,ukweli jamaa hana mpinzani tunajua kazi zake acha tu aje ashike nchi tena namuombea apate,japo natamani wapinzani wawe wengi bungeni ili kumpa saport ya kuadabisha watenda kazi serekalini,Magufuli ni jembe bwana!

Endeleeni kujidanganya! Watu wale ndi mnaita mapokezi ya kishindo basi kazi mnayo mwaka huu.Magufuli ni galasa sion mtajua hilo subirini kampeni zianze
 
Ndugu,
Magufuli amekata hoja zao za Ufisadi na Uwajibikaji.

Kwa sasa wanajaribu kuokota hoja sehemu yoyote ile ili kuifurahisha roho yao.

Magufuli ni Rais wa Tanzania anayesubiri kuapishwa ili wananchi wafahamu maana ya uwajibikaji.
Kwani hamumuamini mpaka mumuapishe? Si mumpe tu urahisi. Na huyo atakae muapisha nani malaika au.
 
Sijui ni makusudi au alipitiwa, hapakuwa na taarifa yeyote ya kuwasili kwa JP mwanza, hata StarTV inayomilikiwa na Diallo haikutoa matangazo ya ujio wa JP wala hapakuwa na gari la matangazo lililopita mtaani kuwataarifu wananchi juu ya ujio wake.

Wananchi wengi wamechukizwa na kitendo cha ccm Mwanza kutokuwataarifu wananchi badala yake wakaenda kuchukua vijana wa bodaboda wa chadema na kuwajazia mafuta na posho waende kumlaki JP uwanja wa ndege jambo lililochukuliwa kuwa ni hujuma dhidi ya magufuli.

Ni wananchi wachache walijitokeza baada ya kusikia makelele na honi za bodaboda, kama ingetolewa taarifa mapema basi msafara wa JP ungechukua wiki moja kutoka uwanja wa ndege hadi mjini kwani wananchi walikuwa na shauku kubwa sana ya kumlaki mteule wao.
 
Mwanza,!!!!Diallo mh!Huyu alikuwa Pro-Lohassa mpaka akadiriki kutamka kutishiwa kunyimwa LESENI.

Ngoja tusubiri bado tunasearch mtandao....
 
Sijui ni makusudi au alipitiwa, hapakuwa na taarifa yeyote ya kuwasili kwa JP mwanza, hata StarTV inayomilikiwa na Diallo haikutoa matangazo ya ujio wa JP wala hapakuwa na gari la matangazo lililopita mtaani kuwataarifu wananchi juu ya ujio wake.

Wananchi wengi wamechukizwa na kitendo cha ccm Mwanza kutokuwataarifu wananchi badala yake wakaenda kuchukua vijana wa bodaboda wa chadema na kuwajazia mafuta na posho waende kumlaki JP uwanja wa ndege jambo lililochukuliwa kuwa ni hujuma dhidi ya magufuli.

Ni wananchi wachache walijitokeza baada ya kusikia makelele na honi za bodaboda, kama ingetolewa taarifa mapema basi msafara wa JP ungechukua wiki moja kutoka uwanja wa ndege hadi mjini kwani wananchi walikuwa na shauku kubwa sana ya kumlaki mteule wao.

Mwanza,!!!!Diallo mh!Huyu alikuwa Pro-Lohassa mpaka akadiriki kutamka kutishiwa kunyimwa LESENI.

Ngoja tusubiri bado tunasearch mtandao....

Nyamagana na Imemela ndio majimbo yaliyopo Mwanza mjini je yanaongozwa na wabunge kutoka chama gani?
 
yeye na rafiki yake membe wamefirisika kisiasa na kiuchumi
 
Acha uwongo wewe unaishi mwanza.ipi
Wakati matangazo yamepigwa na gari la cocacola na gari ya semira siku 3 kablaa ya tukio na radio zimetangaza mpaka magazeti unataka kupotosha umma na akili zakp za kimasaburii

Pamoja na kutangaza still Magufuli amepata mapokezi hafifu.
 
Matangazo mengi sanaaa...kila kona Mwanza yalifanyika, siku 2 au 3 mfululizo, sema Magufuli hana mvuto kwa wananchi.... sbb hata sera zake hazijulikani, ni short hana vipau mbele, ata copy na kupaste ilani ya CCM blindly... ni shida
 
Acha uwongo wewe unaishi mwanza.ipi
Wakati matangazo yamepigwa na gari la cocacola na gari ya semira siku 3 kablaa ya tukio na radio zimetangaza mpaka magazeti unataka kupotosha umma na akili zakp za kimasaburii
Wewe ndo unaleta uongo, tuwekee clip ya starTV wakitangaza ujio wa JP, hilo scania lilipita mahina? Buswelu? Mkuyuni? Igombe? lingepitaje? hilo gari la semira lilipita mitaa ipi? Hapa Mwanza watu hawana habari kama JP alikuwa Mwanza.
 
Mwanza,!!!!Diallo mh!Huyu alikuwa Pro-Lohassa mpaka akadiriki kutamka kutishiwa kunyimwa LESENI.

Ngoja tusubiri bado tunasearch mtandao....
Toka lini Dialo na Lowassa wakawa marafiki Dialo mtu wake Membe.
 
Mkuu kuna umbali mrefu kutoka airport ya Mwanza mpaka ofisi za CCM ni msururu mrefu wa magari naona wakazi wa Ilemela, Igombe, Pansiansi, Nyamanoro, Kirumba wamejitokeza kumpokea Dr.Magufuli.

Hapo mahala ni mbali sana kaka lakini watu kwa utashi wao wenyewe walijitokeza majiani kumlaki mgombe
 
Nyamagana na Imemela ndio majimbo yaliyopo Mwanza mjini je yanaongozwa na wabunge kutoka chama gani?

Kwa hiyo unataka kutuambia Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM anapigiwa kura na wanachama wa CCM tu?Na tusiyo nq vyama je?Haya still searching.....
 
Back
Top Bottom