mwl. mziray
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 598
- 404
Siwezi kukulaumu ndg yangu kwani kwa upande wako kwakuwa hujawahi ona umati mkubwa umeamua kusema huo ni umati mkubwa japo cjui umeulinganisha na upi.
Pole sana kwa imani ulonayo. Raisi hatoi dira yeyote anasifiwa tu kuwa "tingatinga" linaloendeshwa na mtu.
Pole sana kwa imani ulonayo. Raisi hatoi dira yeyote anasifiwa tu kuwa "tingatinga" linaloendeshwa na mtu.