KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
kama habari ndiyo hiyo ccm ishakufa mapokez ya kitoto sana
Nilikuwa nasubiri huu umbea..nimeangalia ITV mpiga picture kajitahidi kuchukua usawa wa watu ila alikuwa napaotea km wewe hapa jamaa hakuwa hata na watu wa wenye ktk mkutano wa kawaida jimboni.Sidhani km kuna mbunge wa CDM anaweza kuwa na watu kidogo km magufuli tena ktk ukanda wake.
Lowassa alishakatwa!Wewe Ni FARAsi wa Sengerema. Hii ni aibu uloweka hapa. Mkajifanya kufunga barabara ili shughuri zikwame watu wakose pa kwenda. Hebu tafuta Picha ya lowasa siku ile kaenda pale Gandhi hall kisha linganisha na za huyu msagajiwe.
Vipi kibaka mbona unahaha tulia dawa iingie mmezoea kuibia watanzania sasa mwisho simui mtapita mlango gani yule mzee wenu mwenye kideli kesho anajiunga na nyie mwandae na dawa zake za kutosha kabisa.Nilikuwa nasubiri huu umbea..nimeangalia ITV mpiga picture kajitahidi kuchukua usawa wa watu ila alikuwa napaotea km wewe hapa jamaa hakuwa hata na watu wa wenye ktk mkutano wa kawaida jimboni.Sidhani km kuna mbunge wa CDM anaweza kuwa na watu kidogo km magufuli tena ktk ukanda wake.
Busara hakujaliwa ,na pengine hakuwahi omba kwa Mungu wake kwani kafika hapo kwa kiherehere(Nyapara) ,Sasa Mungu yupi kigeugeu amjalie sasa hivi?
Walikusanyika sehemu moja, wangetawanywa barabarani wangeonekana wachache sana, yaani watawanywe toka airport mpaka karibu na mjini, wangekuwa mmoja mmoja!Upinzani hauwez kufutika kwa mgombea kupokewa na watu wengi!
Ungeona siku wenje kachukua fomu sijui ungesemaje?! Subir oktoba uje utuambie haya uliyoandika
Lowasa mwenyewe kapasuka atawezaje kupasua chama kwanza tunataka aanze kulipa kodi na zile biashara zake haramu tunaanza kudili naye atakufa mapema sana.Wingi wa watu haimaanishi wote watampa kura
Subirini lowassa atakavokipasaua chama.
Nilikuwa nasubiri huu umbea..nimeangalia ITV mpiga picture kajitahidi kuchukua usawa wa watu ila alikuwa napaotea km wewe hapa jamaa hakuwa hata na watu wa wenye ktk mkutano wa kawaida jimboni.Sidhani km kuna mbunge wa CDM anaweza kuwa na watu kidogo km magufuli tena ktk ukanda wake.
Hili halina mjadala