PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

Yaani eti mtu mzima una andika topic ya kitoto hivi. Pole sana tutakuombea
 
ephen_ hapa huna mtu.
Naomba niachie ephen wanguu. Wewe pambana na mimi tu. Kwa ephen unakuwa unajitafutia matatizo tu. Hiyo ndio mboni yanguu. Maana nitakuja na kikosi kazi kitakachokuweka mtu kati na kukushikisha adabu ambayo utajuta kuzaliwa kwako.
 
Lissu bahati mbaya hana pesa ya mwana mitindo kama Ikulu. Kwa Watanzania hata akivaa kampula haina shida ili mradi asaidie kuleta haki na demokrasia nchini.
Kwani vipimo vya hilo koti lake alipimwa mwingine halafu akashonewa yeye? Au ulipimwa wewe kwa niaba yake?
 
WATAKUWOWA (in Haya's voice)
 


Unaonekana akili zako haziko sawa.

Ndio maana hujali mustakabali wako binafsi na taifa kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…