PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

Watu wengi wa CCM vichwani hawana akili kabisa ndio maana uwezo wao huwa ni ku deal na vitu vidogo vidogo ambavyo havina maana na hiyo ndio kazi kubwa ya wajinga
Kwani CCM ndio wamemshonea hilo koti? Yaani nyie makosa yenu hadi ya kushindwa kuvaa mnaisingizia CCM
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.

Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .

Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .

Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.

Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .

Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.

Angalia hapa👎View attachment 3252722

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
HUYU MWASHAMBA MSHAMBA KWELI KWELI. KIPI BORA UVAE MITAI NA MISUTI MIZURI KM YA AKINA WEZI MADELU NA UFILISI NCHI AU UVAE OVYO KM TAL AU MAGWANDA KM TRAORE NA NCHI IENDELEE? KUBWA JINGA NA OVYO
 
Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .
Tunahitaji kilichomo kichwani mwake zaidi kuliko maonyesho
 
HUYU MWASHAMBA MSHAMBA KWELI KWELI. KIPI BORA UVAE MITAI NA MISUTI MIZURI KM YA AKINA WEZI MADELU NA UFILISI NCHI AU UVAE OVYO KM TAL AU MAGWANDA KM TRAORE NA NCHI IENDELEE? KUBWA JINGA NA OVYO
Kumbe hata wewe una kili kuwa kavaa vibaya na Hovyo?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.

Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .

Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .

Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.

Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .

Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.

Angalia hapa👎View attachment 3252722

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sio kuvaa tu, hata bia alikunywa. tunaomba awe serious hasa linapokuja suala la msingi kama la jana na dunia nzima inakuangalia. kama ulimwangalia vizuri, alikuwa anachekacheka tu, hatoi point yeyote, hakuongea cha maana na analeta utani utani tu bila utaratibu. nadhani chadema muache pombe au la kamwulizeni DJ MBOWE ilishawahi kumgarimu. huwezi kutazamiwa kuongea mambo ya msingi ukaja pale unachekacheka tu. I am your supporter and you will have my vote lakine kati ya siku nilitegemea ungehutubia dunia ilikuwa jana, bora wangempa hata Heche tu nafasi ya kuongea,ajabu yake hata protokali walikosea, MC ndiye alimkaribisha lema kama sikosei amkaribishe mwenyekiti, na hawakumpa Heche nafasi.w alitakiwa wamkaribishe makamu mwenyekiti aongeee na amkaribishe mwenyekiti. kuweni serious.
 
Personal judgement kwa dunia ya sasa sio nykt zake.

Huyo unajua anavaa vingap mwilin , unazn mwili wake na aliyopta utakakuw saw .
 
Sina hasira nahoji ww unae kosoa mavazi , olewa e ukampangie nguo. Punguza povu kenge wahed ww
Mpangieni nyie mliomchagua . Mimi niliona hafai kuwa kiongozi na ndio maana nilikuwa nampinga sana . Sasa nyie mkamchagua kwa Mihemuko na sasa mnaona matokeo ya Mihemuko yenu.
 
Suala uvaaji na unyoaji ni nyeti sana kwa kiongozi/public figure/celebrity. Ukivaa hovyo hovyo utaigwa na jamii kwa kujua huo ndio mtindo mzuri. Utaipotosha jamii namna unavyovaa, kunyoa na mitindo mingine ya ajabuajabu isiyopendeza. Kiongozi ni lazima uwe smart katika kuvaa na kukata nywele ili usilete utata kwa wanaokutazama
 
Suala uvaaji na unyoaji ni nyeti sana kwa kiongozi/public figure/celebrity. Ukivaa hovyo hovyo utaigwa na jamii kwa kujua huo ndio mtindo mzuri. Utaipotosha jamii namna unavyovaa, kunyoa na mitindo mingine ya ajabuajabu isiyopendeza. Kiongozi ni lazima uwe smart katika kuvaa na kukata nywele ili usilete utata kwa wanaokutazama
Umeongea hoja nzito sana.
 
Back
Top Bottom