MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
TAL hakupona risasi 16 ili akae na mkewe na watoto tu, kuna mission zaidi ya hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YesYes. But watu wenye akili huwa hawaweki kisasi au hasira ndani. Sisi wanaume huwa hatuweki hiyo kitu. Slaa aliongea mabaya kipindi hicho analamba asali. Lakini haina haja ya kumlipa mabaya. Nadhani Lissu amefanya jambo la hekima na ameonesha ukomavu mkubwa sana.
Yule mzee njaa ikimzidi tu huwa brain yake inapoteana kbsDr slaaa alisema lissu kajipiga risasi
Share the link please where he said so.Yule mzee njaa ikimzidi tu huwa brain yake inapoteana kbs
Lissu anajua kusameheDr slaaa alisema lissu kajipiga risasi
Ni kweli unalosema. Lakini mbona wakina Halima hamtaki kuwasamehe?Yes. But watu wenye akili huwa hawaweki kisasi au hasira ndani. Sisi wanaume huwa hatuweki hiyo kitu. Slaa aliongea mabaya kipindi hicho analamba asali. Lakini haina haja ya kumlipa mabaya. Nadhani Lissu amefanya jambo la hekima na ameonesha ukomavu mkubwa sana.
Wewe unatembea na jua.Anatembea na upepo
Mimi Halima alinikosea nini mpaka nimsamehe?Ni kweli unalosema. Lakini mbona wakina Halima hamtaki kuwasamehe?
Amandla...
Kazi imeanza.Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.