Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, tuachane na hayo, nimependa hiyo avatar yakoMpwayungu Village aje atuambie mwalimu mkuu wa walimu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa, tuachane na hayo, nimependa hiyo avatar yako
Njoo upatiwe maombi...Kweli, nimeizoom imeleta maafa
🤣🤣🤣🤣 wale wa vpn
Dume hiloSawa, tuachane na hayo, nimependa hiyo avatar yako
Wee komaa...mi ni dadaDume hilo
Tutaaminije? Weka namba hapa tuzipigie kuhakikishaWee komaa...mi ni dada
Mtanifanya niachike na huyu kaka yenu alivyo na mawivuuu...Tutaaminije? Weka namba hapa tuzipigie kuhakikisha
Huwezi mrembo.. mie mtoto wa mganga, ntamwambia faza amtulize ili mimi nikufungulie dunia uwe unachotaka.. bado upo gizani sanaMtanifanya niachike na huyu kaka yenu alivyo na mawivuuu...
Sawa, tuachane na hayo, nimependa hiyo avatar yako
Au nitumie PM, nikikucheki namba yangu uisave MJOMBA ili tumpige changa huyo nyang'auMtanifanya niachike na huyu kaka yenu alivyo na mawivuuu...
Mi nataka nikutoe hilo pepo la uganga...Huwezi mrembo.. mie mtoto wa mganga, ntamwambia faza amtulize ili mimi nikufungulie dunia uwe unachotaka.. bado upo gizani sana
Analo baba, sio mimiMi nataka nikutoe hilo pepo la uganga...
We unalo la totoz..Analo baba, sio mimi