Picha: Uchawa wa kisiasa uliovuka mipaka

Picha: Uchawa wa kisiasa uliovuka mipaka

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Ukisikia Uchawa uliovuka mipaka kwenye siasa ndio kama huu,

20240218_161128.jpg
 
Laana ya waafrika...njaa na kukosa aibu
Hii ibaki kuwa laana ya watanzania. Ila ''vijana wa mjini'' wanajua kucheza na vichwa vya wanasiasa. Watu kama hawa Samia akitoka kwenye madaraka watamgeuzia kibao wote. Halafu kuna huu ujinga wa kila mtu kusema ''tunaomba rais wetu msikivu asikie kilio chetu'' pale kila mtu anapotowa malalamiko ya jambo fulani. Hii imekuwa kama sala ya watanzania.
 
Hii ibaki kuwa laana ya watanzania. Ila ''vijana wa mjini'' wanajua kucheza na vichwa vya wanasiasa. Watu kama hawa Samia akitoka kwenye madaraka watamgeuzia kibao wote. Halafu kuna huu ujinga wa kila mtu kusema ''tunaomba rais wetu msikivu asikie kilio chetu'' pale kila mtu anapotowa malalamiko ya jambo fulani. Hii imekuwa kama sala ya watanzania.
Watanzania wengi usiwaamini kwa lolote! Wengi ni wanafiki na wachumia tumbo kutokana na umasikini na elimu duni waliyonayo walio wengi!
 
Back
Top Bottom