Haupo kwenye system unaleta kelele.Hakuna lolote, ni kukikweza tu hicho cheo,
Ocampo One!!
Kwanza sitaki kuwa huko hata kama nitaalikwa.Haupo kwenye system unaleta kelele.
Yes, kikulacho ki-nguoni mwako!Viongozi wengi wamemalizwa na watu wanao waamini.
MkuuDah nimejikuta nawaza nje ya Box hivi watoto wako wakikuona hivyo au waifu....
Ndugu sizungumzii uchawa hapa! hayo sio mambo yangu kbs,Nazungumzia uzito wa hicho cheo cha urais.Kwanza sitaki kuwa huko hata kama nitaalikwa.
Nyinyi mnajikomba kwake na kumkweza ili kusudi kuvizia teuzi za upendeleo licha ya kwamba mmekosa sifa nzuri za kuteuliwa na kuwa huko. Ni uchawa tu ndio mnaouweza.
Mkuu nimecheka sanaa aiseeeππππMdau mwenye shungi la vidoti doti kanichekesha sana
Mkuu unawataka nini Wazee wa KitengoπππππNamwona ndugu rais akiwa ibadani na huku wadau mbalimbali wakiendelea na swala. Leo ni siku ya kuchinja.
View attachment 3019313View attachment 3019314
Au akili yako bado ipo kwa yule RAISI RAIS WA IRAN π¬π¬.πKiswahili kigumu tuendelee kuelimishana
Sijui imekuwaje leo nimepitiwa π nimeamini hakuna aliye perfect 100% ni vile asilimia tunazidianaAu akili yako bado ipo kwa yule RAISI RAIS WA IRAN π¬π¬.
ππ, %10 za udishi kwa kila head ya binadam lazima ziwepo mkuu.Sijui imekuwaje leo nimepitiwa π nimeamini hakuna aliye perfect 100% ni vile asilimia tunazidiana
Kumbe msikitini inaruhusiwa mwanaume kuvaa ijabuNamwona ndugu rais akiwa ibadani na huku wadau mbalimbali wakiendelea na swala. Leo ni siku ya kuchinja.
View attachment 3019313View attachment 3019314
Kumbe msikitini inaruhusiwa mwanaume kuvaa ijabu