Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Sidhani kama ni kweli.Kwamba ni wanaume wanaimarisha ulinzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni kweli.Kwamba ni wanaume wanaimarisha ulinzi?
Hadi 👙 wamevaVipi walivaa mpaka tight na sidiria ama ni baibui tu
Namwona ndugu rais akiwa ibadani na huku wadau mbalimbali wakiendelea na swala. Leo ni siku ya kuchinja.
View attachment 3019313wangetafuta walinzi wa muda TU Leo then hao wa Kila siku wangesubiri nje.
Yes. Ili mradi tu wavae HijabKumbe msikitini inaruhusiwa mwanaume kuvaa ijabu
Ndiyo mjue dini ni maigizo tupu
Acha dharau na kanisa wewe mwehu.
🤭Acha dharau na kanisa wewe mwehu.
Kabisa kabisa...Kuna muda they regret sema ni kama kunakuwa na no return nadhanSio mchezo girl ni mbaya! Kuna chuki,visasi,mauaji,uongo,siri za kitisha,roho ngumu etc kile kiti ni kizito kione tu vile na ile nembo ya rais.
bado akija mlumbi hapo ukute waliokosoana wote wameandika matus 😁😁😂Kiswahili kigumu tuendelee kuelimishana
Rais ni kiarabuRaisi 🤨🤨
Rais 🤔🤔
😂😂😂😂😂😂Alhaji Namwanda naye alikuwepo?
Kanisani hawatengi me na ke so wataingia kawaida tu. Huko imewalazimu kuvaa hvyo kwa sababu ni sehemu ya ke tuWababa na Ijabu 🤣🤣🤣🤣🤭 ila ndo maisha...ni lazima wamlinde.Siku nikiwa rahisi itawabidi tu wanaume kuvaa vimini ibadani na kuimba pambio🤨
Jamaa lina sharubu kabisa, hahahahahaaMdau mwenye shungi la vidoti doti kanichekesha sana