Picha: Ukishakuwa Rais hata kuna mambo ya Kidini yanapindishwa

Picha: Ukishakuwa Rais hata kuna mambo ya Kidini yanapindishwa

Hao walinzi nao wahuni tu na punguani kabisa.unalindaje mtu anayeuza Nchi Yako?bandari zimeuzwa,watu wanafukuzwa nchini mwao na kuwa wakimbizi(wamasai),wawekezaji uchwara wanajichotea tu Mali za Tanganyika Huku wa Tanganyika wakipata zero
 
Waache ujinga. Wanaendekeza ushoga. Wakamatwe na wapigwe mawe
 
Kwa nini walinzi wanawake wasifanye kazi hiyo kuliko mianaume na midevu kujidhalilisha hivyo kisa tu tumikia kafiri upate mradi wako. Marais wangapi wamewahi kuuliwa wakiwa na walinzi wanaume mbona wengi tu.. This is bullshit.
 
Angeingia huru kabisa , maana hata walinzi hawana neno .
 
Tuliambiwa huyu hana mbwembwe za kulindwa Kiko wapi? Ndiyo mjue hata wale wauza madafu walikuwa wa mchongo.

The guilty are afraid hadi wanawake wenzie ana wagwaya!
 
Wababa na Ijabu 🤣🤣🤣🤣🤭 ila ndo maisha...ni lazima wamlinde.Siku nikiwa rahisi itawabidi tu wanaume kuvaa vimini ibadani na kuimba pambio🤨
Kanisani hawatengi me na ke so wataingia kawaida tu. Huko imewalazimu kuvaa hvyo kwa sababu ni sehemu ya ke tu
 
Back
Top Bottom