Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Hauoni moustache na jinsi sura ilivyo ngumuUna hakika huyo ni mwanaume ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauoni moustache na jinsi sura ilivyo ngumuUna hakika huyo ni mwanaume ??
SureHakuna lolote, ni kukikweza tu hicho cheo,
Hauoni moustache na jinsi sura ilivyo ngumu
Sawa sheikhSiku hizi kuku na wanyama wengi wanapewa madawa ya kukuwa haraka , wanawake wengi wanaokula kuku, na wanyama hao , na ndio wakaathirika kwa kuota moustach na ndevu. Inawezekana huyo au hao ni baadhi yao
Sasa huyo mwanamke mwenye moustache kwanini amkaribie kiongozi wetu🤔Siku hizi kuku na wanyama wengi wanapewa madawa ya kukuwa haraka , wanawake wengi wanaokula kuku, na wanyama hao , na ndio wakaathirika kwa kuota moustach na ndevu. Inawezekana huyo au hao ni baadhi yao
Sawa sheikh
Sasa huyo mwanamke mwenye moustache kwanini amkaribie kiongozi wetu🤔
Acheni kuingilia kazi za watu.Namwona ndugu rais akiwa ibadani na huku wadau mbalimbali wakiendelea na swala. Leo ni siku ya kuchinja.
View attachment 3019313View attachment 3019314
Ni mambo ya hovyo snVipi walivaa mpaka tight na sidiria ama ni baibui tu
Mambo ya kijinga haswaLakini pia CCM haiaminiki inawezekana pia wakaleta wanaume waliovaa kike misikitini , Walishatuambia CCM haina dini , wale pengine ni wachawi😛😛😛
Sijui ilishindikana kuwaweka wa kike mpaka kuivalisha midume baibuiNi mambo ya hovyo sn
Imeenda kuchungulia wanawake, yaani unaenda Msikitini au Kanisani kumuuomba MUNGU halafu MUNGU mwenyewe humwamini si bora ubaki kama mimi nipo nipo tuSijui ilishindikana kuwaweka wa kike mpaka kuivalisha midume baibui
Acheni kuingilia mambo ya kiserikali na dini. Huwezi kuumwa malaria at unadini ukaombewe ili upone badala ya kwenda hospital.Imeenda kuchungulia wanawake, yaani unaenda Msikitini au Kanisani kumuuomba MUNGU halafu MUNGU mwenyewe humwamini si bora ubaki kama mimi nipo nipo tu
Acha dharau na kanisa wewe mwehu.Wababa na Ijabu 🤣🤣🤣🤣🤭 ila ndo maisha...ni lazima wamlinde.Siku nikiwa rahisi itawabidi tu wanaume kuvaa vimini ibadani na kuimba pambio🤨