Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana roho mbaya sana Alikiba ndo mana ata kila anachokifanya Hafanikiwi sababu ni kwamba...Harmonize kapatana na Baba Yake.Ila alikiba ni kauzu, mjeuri na mjivuni sana ndo maana hata huko insta amekataa ku m follow mtu yoyote, hata wasanii wakubwa kwake!!!
Hio picha ya pili jamaa alimkataa harmonize vibaya sana
Apige magoti harmonize wa kukufuru niwe mieUchawa hadi unakufuru
YEs anajisikia sana na ana roho ya korosho mnoIla alikiba ni kauzu, mjeuri na mjivuni sana ndo maana hata huko insta amekataa ku m follow mtu yoyote, hata wasanii wakubwa kwake!!!
Hio picha ya pili jamaa alimkataa harmonize vibaya sana
Plus mibangi na mifegi anayovutaMuda wote Konde kalewa. Muda woote kuanzia asubuhi hadi jioni.
Hivi huwa ana hela?Ila alikiba ni kauzu, mjeuri na mjivuni sana ndo maana hata huko insta amekataa ku m follow mtu yoyote, hata wasanii wakubwa kwake!!!
Hio picha ya pili jamaa alimkataa harmonize vibaya sana
Usimfananishe Mungu na wapuuzi washenziKwa diamond kila goti litapigwa yeye sio wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuomba radhi kwa Simba
Wapi nimemtaja Mungu au una mshindo?Usimfananishe Mungu na wapuuzi washenzi