NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Sio salama Kwa familia hiyo nyumba!!Acha uchoyo mkuu. Ishi na mwenzio
Usalama ni mdogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio salama Kwa familia hiyo nyumba!!Acha uchoyo mkuu. Ishi na mwenzio
Cha msingi hapo ni kutafuta karatasi au magazeti mengi na gundi unabandika kwa gundi pote halafu unapiga ripu ya udongo iliyochanganywa na chokaa kidogo hutohisi joto tena! Chokaa plus udongo it's act kama insulator!Za makuti ndani ni baridi, nzuri kabisa.
Hii tatizo lake ni joto wakati wa jua kali.
Acha basiiii. Tena kwa jeshi la watu 2 mbona iko poa sanaSio salama Kwa familia hiyo nyumba!!
Usalama ni mdogo!
Hiyo apartment yote! Sio tu kuishi, navimba
Kama anavumilia baridi na mazingira ya kazini wakati wa lindo usiku, hawezi kushindwa himili joto la hilo kasri.Kama ni mlinzi analinda usiku?
Umeliona vizuri hilo Kasri lakini Rafiki? Hapo ilitakiwa alipige madirisha makubwa na aweke makuti Kwa juu.Kwa hili jua la daslam rafiki?
Nakusalimu[emoji1669]
kiboko ya wapiga chabo akigusa bati tu linapiga kelele unashtuka.
Hilo fukuto babake hayo yanaitwa masufuria sasa umeyainjika juani anataka uive mchana fukuto usiku fukuto labda ukajenge lushoto milimani kule km unaenda magamba usijenge Dar utababuka ngoziShida nini kwani, au mimi sijaelewa
Tukiziita full suit, tumeishi nyumba hizo.Kwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
View attachment 2872707
View attachment 2872706
View attachment 2872705
Kuna muda hilo bati likipigwa sana na Jua linaanzia kuota kutu na kutoboka hayo masufuria kutoboka lazima sasa hapo ndio utaelewaCha msingi hapo ni kutafuta karatasi au magazeti mengi na gundi unabandika kwa gundi pote halafu unapiga ripu ya udongo iliyochanganywa na chokaa kidogo hutohisi joto tena! Chokaa plus udongo it's act kama insulator!