EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Kuna madirisha mkuu.Za makuti ndani ni baridi, nzuri kabisa.
Hii tatizo lake ni joto wakati wa jua kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna madirisha mkuu.Za makuti ndani ni baridi, nzuri kabisa.
Hii tatizo lake ni joto wakati wa jua kali.
Vijana wa sasa wana kaujinga fulani na hawana ubunifu.Nyumba kali, ndani angepiga ceiling bord kote kuzuia baridi na joto ingekuwa poa sana.
Bila shaka hii nyumba ipo mikoa ya baridiKwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
View attachment 2872707
View attachment 2872706
View attachment 2872705
South hiyo kuna kuna baridi sana hukoTatizo litakalokusibu kwenye huo mjengo ni joto
Mchana ni Kama tanuru la Moto😄😄🤣kwaida sana kwa sisis mabaharia tushaishi sana beach ndo nyumba zetu hzo mboNa ila mchana hatukai
mchana hukaiMchana ni Kama tanuru la Moto😄😄🤣
Nyumba kaliKwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
View attachment 2872707
View attachment 2872706
View attachment 2872705
Udogoni Kuna Jamaa kwao Pali kuwa hivyo.mchana hukai
🤣🤣daahUdogoni Kuna Jamaa kwao Pali kuwa hivyo.
👉Ukienda hauna haja ya kuoga😄
Afu Jamaa ana force nintembelee😄😄, sema siku hizi katusua🤒🤣🤣daah
sasa kama katusua usiende ukienda itaonekana ulikua unamkataaAfu Jamaa ana force nintembelee😄😄, sema siku hizi katusua🤒
Namkataa kivipi😄😄sasa kama katusua usiende ukienda itaonekana ulikua unamkataa
ujakaa kyubaNamkataa kivipi😄😄
Nime ishia Pakistan shamba😄🤒ujakaa kyuba
hamasiiiiiu hamasiiiiiiiNime ishia Pakistan shamba😄🤒
Bwegeee😄🤣🤣, nime cheka kibwege🤣hamasiiiiiu hamasiiiiiii
Ninaishi na tena nimeipenda sana tu.Kwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
View attachment 2872707
View attachment 2872706
View attachment 2872705
Kwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
View attachment 2872707
View attachment 2872706
View attachment 2872705