Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

Ni mapema sana kumfananisha huyo mtoto, kwenye umri huo waweza kumfananisha na wengi tu.
 
Tumekalia majungu tu diamond sio mjinga yule anaakili sana mpaka kuja kumuoa zari ndo mana adi rais anatuponda tumekalia mitandao tu .kiukwer tumezidi.
Na ninahis mtoa post ni jinsia ya Ke mana tangu ndu yao aachwe hawajaridhika
 
Tumekalia majungu tu diamond sio mjinga yule anaakili sana mpaka kuja kumuoa zari ndo mana adi rais anatuponda tumekalia mitandao tu .kiukwer tumezidi.
Na ninahis mtoa post ni jinsia ya Ke mana tangu ndu yao aachwe hawajaridhika
Kamuoa zari. Lini walioana tafadhali.
 
Pata picha mkeo azae mtoto kafanana na x boy wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23] kama nakuona vileee
 
iyo ni editing tu imefanyika hapo mtt ni wa mond tusiibue maswala mengine yasiyo na msingi jaman
 
Mwenzetu akaunti yake inazidi kunona tu sie huku tunajadili watoto wake, hebu tuweni serious kama kweli tunahitaji kujua kuhusu huyo dogo wa mondi.. Kila mtu aweke picha yake na baba yake... Kama mtakuwa sawa basi ntakuwa sina Shaka na comments zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…