Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

Mlianza kwa Tiffa ivyo ivyo kumfananisha na Ivan. Mwsho wa siku Mungu sio abdalah wala van mtoto ndo sura ya mondi tupu. Wekeni akiba ya maneno baadae mje kujiumbua wenyewe.
Umesema kweli mrs van.Wengine hawajui kama wanaishi na baba zao wa kambo hivyo mi nampa bigup diamond kuwa analea damu yake halali na sio kama huyu alieposti picha kumdhihaki diamind wakati yeye babake hamjui mpaka leo
 
ifike time sasa watanzania tuheshimu mapenzi ya watu izi ni mbinu za uchochez tu za kuvuruga mapenz ya mond na zari maadam zar mwenyewe anasema mtt ni wa mond bas acha awe wa mond Ivan kafananishw but ukwel halis anaujua zari hivyo tusijaji san
 
4ac4a159adb86ec255fe9dd064d6f607.jpg
e9ce9aff9b5dcac88a08730a14a56da4.jpg
f8f5e6cc06af87d92b98251459b3742a.jpg

Et jamani bado mbabisha tuuu ?? Aisee mapenzi upofu ila limbwata la kiganda nomaaa
Mbona anafanana na watoto wake
Sura za utoto huwa zinabadilika
 
Tumekalia majungu tu diamond sio mjinga yule anaakili sana mpaka kuja kumuoa zari ndo mana adi rais anatuponda tumekalia mitandao tu .kiukwer tumezidi.
Na ninahis mtoa post ni jinsia ya Ke mana tangu ndu yao aachwe hawajaridhika
Kamuoa lini? Ndoa ilifungwa na nani? Sherehe ikafanyika wapi?
 
Back
Top Bottom